Chumba cha siri
Member
- Jun 27, 2012
- 17
- 7
wanajamvi. Leo hawajaingia bado ndani ya chumba hiki lakini wakiingia ntawafahamisheni nini wamezungumza, ila nimesikia pia kutoka nje kwenye dilisha la nyuma kuwa eti kilichotokea kule kenya ni mpango maalumu wa kuishinikiza kenya kutojitoa katika mahakama ya ICC kama ambavyo walikuwa wakitaka kufanya hivyo.
na wengine wameenda mbali zaidi wakihusisha pia na kauli zilizotolewa na nchi wanachama wenyenguvu ya ushawishi kuwa endapo mtajitoa ICC basi hatutawasidia kuhusu al-shabab. Swali ambalo mmoja alihoji eti Al-shabab wanafadhiriwa na muingereza na marekani?
kama ndio juhudi za marekani katika kupigana na kutokomeza ugaidi ni mchezo wa kuigiza? Kama la je kwa hili wanasimamia wapi?
ikumbukwe pia katka madai yao ya msingi kuhusu hili la ICC Kenya kupitia mawakili wa serikali na yule anayemtetea makamu wa raisi waliishutumu sana Marekani juu ya kukataa kupokea ombi la kujitoa huko je marekani hapa inakwepa?
al-shabab ni nan hasa juu ya nguvu ya Marekani katika vita dhidi ya ugaidi,na kama wanaguvu sana kuliko Marekani je wanafadhiriwa na nani? Walio iteka Westgate ni wamarekani wakiongozwa na Mwanamama ambaye ni mwingereza na baadhi ni wakenya swali hapa ni je al-shabab ni kutoka nchi hizi tatu tu au na somalia wapo japo taarifa za polisi kutoka serikali ya kenya hazijasema?
Kama al-shabab si wasomali magaidi hawa wanatoka nchi ya Marekani,Kenya na uingereza. Kama mataifa haya yanampango wa kutokomeza ugaidi yaanze kujipima yenyewe..
WANAJAMVI HAYA NDIYO NILIYO YASIKIA KUTOKA NJE NA SI YA NDANI NIMEYALETA HAPA KWAKUWA NAHISI KUNAUKWELI NDANI YAKE
na wengine wameenda mbali zaidi wakihusisha pia na kauli zilizotolewa na nchi wanachama wenyenguvu ya ushawishi kuwa endapo mtajitoa ICC basi hatutawasidia kuhusu al-shabab. Swali ambalo mmoja alihoji eti Al-shabab wanafadhiriwa na muingereza na marekani?
kama ndio juhudi za marekani katika kupigana na kutokomeza ugaidi ni mchezo wa kuigiza? Kama la je kwa hili wanasimamia wapi?
ikumbukwe pia katka madai yao ya msingi kuhusu hili la ICC Kenya kupitia mawakili wa serikali na yule anayemtetea makamu wa raisi waliishutumu sana Marekani juu ya kukataa kupokea ombi la kujitoa huko je marekani hapa inakwepa?
al-shabab ni nan hasa juu ya nguvu ya Marekani katika vita dhidi ya ugaidi,na kama wanaguvu sana kuliko Marekani je wanafadhiriwa na nani? Walio iteka Westgate ni wamarekani wakiongozwa na Mwanamama ambaye ni mwingereza na baadhi ni wakenya swali hapa ni je al-shabab ni kutoka nchi hizi tatu tu au na somalia wapo japo taarifa za polisi kutoka serikali ya kenya hazijasema?
Kama al-shabab si wasomali magaidi hawa wanatoka nchi ya Marekani,Kenya na uingereza. Kama mataifa haya yanampango wa kutokomeza ugaidi yaanze kujipima yenyewe..
WANAJAMVI HAYA NDIYO NILIYO YASIKIA KUTOKA NJE NA SI YA NDANI NIMEYALETA HAPA KWAKUWA NAHISI KUNAUKWELI NDANI YAKE