Wenzetu Kenya waliamua kufanyia siasa makanisani kwa sababu wakati mwingine tofauti ya Kanisa na Chama cha Siasa ni ndogo sana!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,137
Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anachaguliwa kwa kura kama ilivyo baadhi ya maaskofu.

Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anaweza kukaa madarakani apendavyo mfano Lipumba wa CUF na baadhi ya maaskofu ni hivyo hivyo.

Mwenyekiti wa Chama anaweza kuwaminya wanachama wanaotishia nafasi yake mfano Mbatia pale NCCR mageuzi na katika baadhi ya Makanisa ni hivyo hivyo.

Mwenyekiti wa Chama anaweza kuchezea Katiba ili adumu madarakani mfano Momose pale UDP na baadhi ya Makanisa hasa ya Kilokole ni hivyo hivyo.

So, nawaona Wakenya wako sahihi tu kufanya siasa kanisani.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anachaguliwa kwa kura kama ilivyo baadhi ya maaskofu

Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa anaweza kukaa madarakani apendavyo mfano Lipumba wa CUF na baadhi ya maaskofu ni hivyo hivyo....
Kwa akili zako ndogo una haki ya kuwaza huvyo Hamia Kenya kafanye Siasa Misikitini na Makanisani
 
Wanaokataa kuhusisha dini na siasa, wanajua kuna madudu wanayafanya huko kwenye siasa ambayo dini haitaweza kuyaunga mkono!

Ndio maana wakisifiwa na viongozi wa dini hakuna tatizo. Ila wakikosolewa na viongozi wa dini, ndio kelele za kuchanganya dini na siasa zinaanza!
 
Hizi nyuzi za upumbavu zinazidi kuongezeka kila uchao aisee. Hii inaonyesha namna jamii ya sasa imeshafeli kuwajenga vijana kuwa na mawazo na akili za kizalendo matokeo yake wamekuwa watu wakujenga vihoja vinavyotakana na fikra za kibinafsi na kimakundi bila kuelewa madhara yake.

Sasa tazama kama mleta uzi yeye anaamini kuwa kuhusisha imani /dini na siasa ni njia bora ya mafanikio katika ulimwengu wa uongozi. Huu upumbavu angeuzungumza miaka ya 1970 muda huu angekuwa jela tena anachezea na bakora kabisa.

Tulijenge taifa vijana kama mleta uzi ni cell za kansa inayoanza kujiumba. Tuwatokomeze.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anachaguliwa kwa kura kama ilivyo baadhi ya maaskofu

Mwenyekiti wa Chama Cha Siasa anaweza kukaa madarakani apendavyo mfano Lipumba wa CUF na baadhi ya maaskofu ni hivyo hivyo

Mwenyekiti wa Chama anaweza kuwaminya Wanachama wanaotishia nafasi yake mfano Mbatia pale Nccr mageuzi na katika baadhi ya Makanisa ni hivyo hivyo

Mwenyekiti wa Chama anaweza kuchezea Katiba ili adumu madarakani mfano Momose pale UDP na baadhi ya Makanisa hasa ya Kilokole ni hivyo hivyo

So, nawaona Wakenya wako sahihi tu kufanya Siasa Kanisani
siasa ni sawa na dini tu....hata mashehe, muftis wote wanachaguliwa kama wanasiasa.....usiwashambulie wakristo tu as if waislamu wanashushwa wakiwa ni mashehe tayari
 
Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anachaguliwa kwa kura kama ilivyo baadhi ya maaskofu.

Mwenyekiti wa Chama cha Siasa anaweza kukaa madarakani apendavyo mfano Lipumba wa CUF na baadhi ya maaskofu ni hivyo hivyo.

Mwenyekiti wa Chama anaweza kuwaminya wanachama wanaotishia nafasi yake mfano Mbatia pale NCCR mageuzi na katika baadhi ya Makanisa ni hivyo hivyo.

Mwenyekiti wa Chama anaweza kuchezea Katiba ili adumu madarakani mfano Momose pale UDP na baadhi ya Makanisa hasa ya Kilokole ni hivyo hivyo.

So, nawaona Wakenya wako sahihi tu kufanya siasa kanisani.
Tangu kuumbwa Ulimwengu,

Mungu ndiye alikuwa akiteua WAFALME kupitia manabii.

Dini ni Siasa na siasa ni DINI,

Waumini wa makanisa na misikiti ndo watumishi ktk kada mbalimbali Serikalini.

Si sawa kuwakataza viongozi wa dini kukemea wanasiasa.

HIVYO,

Manabii na watumishi wa Mungu kukemea na kuwaelekeza viongozi wa kisiasa ni wajibu wao maana KAZI hiyo wameifanya tangu enzi na enzi.
 
Back
Top Bottom