Wenye watoto wa kike tuwafundishe hivi

Nduka Original

JF-Expert Member
Nov 6, 2010
1,012
816
Kwa wale wenye watoto wa kike tuwaonye kuhusu kupiga mizinga wapenzi wao. Yani kuna demu nimemu approach hatuna wiki na wala hatuja sex tayari leo kanipiga mzinga wa 1.5m eti anadaiwa kodi ya nyumba yani imeshakula kwake nimempiga block;.
 
Mtoto wa kike chini ya miaka 35, hajaolewa na hayupo nje ya mji wa nyumbani, wazazi wapo hai, muulize kwa makini, kwanini apange? Ukimuelewa, angalia mfuko wako!

Kinyume chake, ama akae nyumbani, au akae kwake na wa nyumbani!
 
Kwa wale wenye watoto wa kike tuwaonye kuhusu kupiga mizinga wapenzi wao. Yani kuna demu nimemu approach hatuna wiki na wala hatuja sex tayari leo kanipiga mzinga wa 1.5m eti anadaiwa kodi ya nyumba yani imeshakula kwake nimempiga block,
Inategemea na wewe ulivyoenda boss. Halafu pia kama unayo hela unampa kwanini ulalamike?

Shida ni kuwa hauna hiyo hela ndio maana umempiga tofali.
 
Kwa wale wenye watoto wa kike tuwaonye kuhusu kupiga mizinga wapenzi wao. Yani kuna demu nimemu approach hatuna wiki na wala hatuja sex tayari leo kanipiga mzinga wa 1.5m eti anadaiwa kodi ya nyumba yani imeshakula kwake nimempiga block,
Mwambie ahamie kwako muishi wote
 
Hongera sana kaka, Hadi inafikia Hatua unaombwa 1.5m inamaana unauwezo wa kuwa nayo. Hao huwa hawaombi kwa watu wanaojua hawawezi wapa.
 
Analipa kodi ya nyumba 1.5m kwa muda gani, miezi 3, miezi 6, mwaka?

Lipa tu mkuu. Msaidie mtoto kaka.
 
Back
Top Bottom