kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,032
- 2,936
Habarini za usiku huu, poleni na majukumu.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nikiri mbele zenu sijawahi kuanda ndege hata siku moja. Nimepanga December hii kwenye sikukuu ya Christmas niende Mwanza kwa ndege.
Naombeni mchango wenu wa mawazo na uzoefu. Hotel gani ya bei poa pale Mwanza?
Gharama za ndege zipoje kwenda na kurudi, au kwenda pekee? Angani ntakaa muda gani?
Ratiba za kuondoka Dar kwenda Mwanza kwa ndege huwa ni saa ngapi? Ili safari yangu iwe nzuri, nini nizingatie? Changamoto gani ni ya kawaida kuvumilika?
Nimesikia ukifanya booking mapema bei inapungua, je kuna ukweli, na kama ndiyo, utaratibu wa booking upoje?
Karibuni
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nikiri mbele zenu sijawahi kuanda ndege hata siku moja. Nimepanga December hii kwenye sikukuu ya Christmas niende Mwanza kwa ndege.
Naombeni mchango wenu wa mawazo na uzoefu. Hotel gani ya bei poa pale Mwanza?
Gharama za ndege zipoje kwenda na kurudi, au kwenda pekee? Angani ntakaa muda gani?
Ratiba za kuondoka Dar kwenda Mwanza kwa ndege huwa ni saa ngapi? Ili safari yangu iwe nzuri, nini nizingatie? Changamoto gani ni ya kawaida kuvumilika?
Nimesikia ukifanya booking mapema bei inapungua, je kuna ukweli, na kama ndiyo, utaratibu wa booking upoje?
Karibuni