Wenye uzoefu wa kupanda ndege naombeni msaada wenu

Mkuu first of all unapaswa kuvua viatu airport na maairhost wakikupa sijui vicake vikorosho na vijuyce usisahau kulipa bili na ukiona mwendo ni mkali wambie Mapassenger wenzio wamwambie ruban apunvuze speed
 
Mkuu first of all unapaswa kuvua viatu r mm airport na maairhost wakikupa sijui vicake vikorosho na vijuyce usisahau kulipa bili na ukiona mwendo ni mkali wambie Mapassenger wenzio wamwambie ruban apunvuze speed
 
NA AKIKUTA TRANS AFRICAN!?
Aisee! Umenikumbusha mbali sana. Haya mabus sitakuja nisahau. Tulikuwa na mzee tunasafiri, kutoka mwanza-tarime, enzi hizo bana mnaondoka mwanza saa 2-3 asubuhi na safari inachukua masaa 7-8 njiani (japo na sasahiv mwanza-tarime ni masaa 5 ingawa kuna kipindi muda ulikuwa masaa 3 hadi 3.5

Alichokuwa anakifanya dereva na kondakta wake pamoja na mautingo ni vituko. Nitakuja kuleta stori yao iliyotufanya kutoka mwanza hadi nyamongo kwa wanaopafahamu ichukue zaidi ya masaa 15 njiani (tarime mjini pekee tulifika muda wa saa 1 usiku toka tulipoanza safari saa mbili asubuhi na kutoka tarime saa moja hiyo mpaka nyamongo saa sita usiku. Barabara ilikuwa vumbi mwanzo mwisho, lami ilikuwa kama ndoto hv kwa mkoa pendwa.) Hao jamaa ni habari nyingine. Mara ya pili ndio tulipata ahueni kidogo baada ya kupata bus la Sandhu Coach (sina uhakika na spelling) wale wanjia hiyo miaka ya 2000s mnakumbuka ilivyokuwa inapepea hii kitu
 
Aisee! Umenikumbusha mbali sana. Haya mabus sitakuja nisahau. Tulikuwa na mzee tunasafiri, kutoka mwanza-tarime, enzi hizo bana mnaondoka mwanza saa 2-3 asubuhi na safari inachukua masaa 7-8 njiani (japo na sasahiv mwanza-tarime ni masaa 5 ingawa kuna kipindi muda ulikuwa masaa 3 hadi 3.5

Alichokuwa anakifanya dereva na kondakta wake pamoja na mautingo ni vituko. Nitakuja kuleta stori yao iliyotufanya kutoka mwanza hadi nyamongo kwa wanaopafahamu ichukue zaidi ya masaa 15 njiani (tarime mjini pekee tulifika muda wa saa 1 usiku toka tulipoanza safari saa mbili asubuhi na kutoka tarime saa moja hiyo mpaka nyamongo saa sita usiku. Barabara ilikuwa vumbi mwanzo mwisho, lami ilikuwa kama ndoto hv kwa mkoa pendwa.) Hao jamaa ni habari nyingine. Mara ya pili ndio tulipata ahueni kidogo baada ya kupata bus la Sandhu Coach (sina uhakika na spelling) wale wanjia hiyo miaka ya 2000s mnakumbuka ilivyokuwa inapepea hii kitu
Wala hujakosea mkuu Sandhu Coach ( Isuzu mv 118 ) mpya kwa wakati huo!

Inatoka mwanza saa 12:30 asubuhi inafika musoma saa 4:00 asubuhi!

Inatoka musoma saa 9:00 alasiri inafika mwanza saa 12:30 jioni!

Kwa siku hiyo hiyo!!
 
Mkuu, hii mikoa unakuwepo kwawakti mmoja? Au unapiga sinu kila siku kuulizia kama ndege zimefika au bado (hapa itakuwa unafanya kama meneja wa KIMBINYIKO/ABOOD/DAR LUX n.k
Wewe: halo!!
Agent moro: halo, boss za jioni
Wewe: njema, vp huko zimefika bus ngapi?
Agent moro: mpaka sasa zimefika tatu, moja iko njiani maeneo ya dodoma. Ilienda kuchukua abiria waliokuwa kwenye gari x baada ya (x) kupata hitilafu singida
Wewe: ok, hakikisha inafika salama, ngoja niwasiliane na mafundi singida ili nipate taarifa wamefikia wapi mpaka sasa
A/moro: sawa boss

Kisha unarudia na mikoa mingine mkuu, au sio.
ah ah dah mda uliotumia kuandika hii joke unastahili mzee big up
 
Habarini za usiku huu, poleni na majukumu.

Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, nikiri mbele zenu sijawahi kuanda ndege hata siku moja. Nimepanga December hii kwenye sikukuu ya Christmas niende Mwanza kwa ndege.

Naombeni mchango wenu wa mawazo na uzoefu. Hotel gani ya bei poa pale Mwanza?

Gharama za ndege zipoje kwenda na kurudi, au kwenda pekee? Angani ntakaa muda gani?

Ratiba za kuondoka Dar kwenda Mwanza kwa ndege huwa ni saa ngapi? Ili safari yangu iwe nzuri, nini nizingatie? Changamoto gani ni ya kawaida kuvumilika?

Nimesikia ukifanya booking mapema bei inapungua, je kuna ukweli, na kama ndiyo, utaratibu wa booking upoje?

Karibuni
Vitu vya kuvumilika ni kama Climactic disaster hivyo Ndege kudondoka halafu zikapatikana maiti ni vitu vya kawaida huwa tunavumiliaga tuu.
 
Wala hujakosea mkuu Sandhu Coach ( Isuzu mv 118 ) mpya kwa wakati huo!

Inatoka mwanza saa 12:30 asubuhi inafika musoma saa 4:00 asubuhi!

Inatoka musoma saa 9:00 alasiri inafika mwanza saa 12:30 jioni!

Kwa siku hiyo hiyo!!
Jamaa walikuwa wanaijua sana kazi yao. Ila hawa trans Africa sijui walikuwa wanawaza nn
 
Back
Top Bottom