Wenye uzoefu na biashara ya mazao naomba ushauri

Wenye uzoefu na biashara ya mazao naomba ushauri

Mwanamke wa mithali 31

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2024
Posts
1,339
Reaction score
3,094
Aliyewahi kufanya hii biashara ya kununua na kuuza mazao,

Nataka kusafiri kwenda mkoa wa katavi, kipindi cha mavuno maana nimeambiwa huko wanalima sana mahindi,

Nataka kununua mahindi, niweke stoo
Baada ya muda bei zikiwa nzuri niuze

Sasa sina mtu huko,na sina uzoefu wowote,
 
Aliyewahi kufanya hii biashara ya kununua na kuuza mazao,

Nataka kusafiri kwenda mkoa wa katavi, kipindi cha mavuno maana nimeambiwa huko wanalima sana mahindi,

Nataka kununua mahindi, niweke stoo
Baada ya muda bei zikiwa nzuri niuze

Sasa sina mtu huko,na sina uzoefu wowote,
Hongera sana mkuu
Walimaji wa Mahindi wa Kati, tunalima Ikunzi - Runzewe Geita, tunategemea kuvuna mwezi wa tatu mwishoni, tuna expect junia 200 za mahindi.
 
Aliyewahi kufanya hii biashara ya kununua na kuuza mazao,

Nataka kusafiri kwenda mkoa wa katavi, kipindi cha mavuno maana nimeambiwa huko wanalima sana mahindi,

Nataka kununua mahindi, niweke stoo
Baada ya muda bei zikiwa nzuri niuze

Sasa sina mtu huko,na sina uzoefu wowote,
Shida ya kuhifadhi mahindi ni wadudu wabunguaji na kupata dawa ya kuwazuwia kipindi hiki cha dawa fake ni mtihani
Ila kuna mifuko inaitwa Kinga ñjaa,ina mifuko miwili ya plastic ndani kwa ajili ya kuwanyima hewa wadudu na hivyo kuyafanya mazingira ya kuishi humo kama sayari ya zebaki/Mercury,mifuko hiyo huuzwa elfu tano

Usiamini mtu akununulie mzigo akiwa katavi, watanzania siyo waaminifu

Suala la mizani ni nyeti sana kwenye biashara ya nafaka
 
Kwamba walima mahindi huko katavi wanaenda pasuka?
atleast angekuwa mfanyabiashara mzoefu then katavi anaomba mtu tu wa kufikia na kumsaidia kumwonyesha mazingira

hyo ya kujifanya si mzoefu ni ili anayempokea aone ni mtu asiyejua lolote, kumbe mpokeaji ndo atajua hajui lolote trust me mzee wa tungi.

kunywa bia hata 3 then pitia huu uzi kwa jicho lenye castle lite utagundua hilo
 
atleast angekuwa mfanyabiashara mzoefu then katavi anaomba mtu tu wa kufikia na kumsaidia kumwonyesha mazingira

hyo ya kujifanya si mzoefu ni ili anayempokea aone ni mtu asiyejua lolote, kumbe mpokeaji ndo atajua hajui lolote trust me mzee wa tungi.

kunywa bia hata 3 then pitia huu uzi kwa jicho lenye castle lite utagundua hilo
Kaka inaweza kuwa kweli aseee na ukizingatia ni mwanamke wa methali tena 🤔 inawezekana ni methali zakimitego kweli 😅
 
Aliyewahi kufanya hii biashara ya kununua na kuuza mazao,

Nataka kusafiri kwenda mkoa wa katavi, kipindi cha mavuno maana nimeambiwa huko wanalima sana mahindi,

Nataka kununua mahindi, niweke stoo
Baada ya muda bei zikiwa nzuri niuze

Sasa sina mtu huko,na sina uzoefu wowote,
Kwa uzoefu wangu, wanasemaga MAHINDI ya IRINGA ni Mazuri tofauti na sehemu zingine.

Sijajua hali ya mavuno pande hizo kutokana na msimu huu wa mvua.
 
Back
Top Bottom