ijoz
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 731
- 710
Jukwaa hili ndilo lilinifanya mimi niifahamu JF.
wadau wamekuwa wanaleta hoja/mawazo yanayoleta msukumo chanya wa maendeleo ya mtu binafsi kwa kutoa mawazo mbalimbali ya kumwezesha mtu kupiga hatua.
Lakini naona jukwaa hili siku hizi limepoa sana,au wote wamehamia kwenye siasa na MMU,maana kule hoja mpya kila siku na zinachangiwa sana.
Ombi kwa mnaoweza kutupia mambo tofauti ya kijasiriamali,wekeni mawazo yenu.
Watu wanajifunza,wanatenda na kufanikiwa kupitia jukwaa hili.Miye ningekuwa na uwezo wa elimu hii ningekuwa namwaga hoja tofauti hapa za kijasiriamali.
wadau wamekuwa wanaleta hoja/mawazo yanayoleta msukumo chanya wa maendeleo ya mtu binafsi kwa kutoa mawazo mbalimbali ya kumwezesha mtu kupiga hatua.
Lakini naona jukwaa hili siku hizi limepoa sana,au wote wamehamia kwenye siasa na MMU,maana kule hoja mpya kila siku na zinachangiwa sana.
Ombi kwa mnaoweza kutupia mambo tofauti ya kijasiriamali,wekeni mawazo yenu.
Watu wanajifunza,wanatenda na kufanikiwa kupitia jukwaa hili.Miye ningekuwa na uwezo wa elimu hii ningekuwa namwaga hoja tofauti hapa za kijasiriamali.