SUPER BRAND
Member
- Feb 9, 2014
- 8
- 0
Salaam wana jf,
Mwaka 2015 iwe isiwe lazima na mimi nipate kibanda changu cha kujisitiri na familia yangu maana tusio na nyumba sometimes naona kama tunyanyasika!!
Hivi juzi juzi jobmate mwenzangu alipoteza mke na mtoto katika ajali ya bus huko Musoma,na mmoja ya waliokuwepo kwenye msiba huo ni baba mwenye nyumba anapoishi.
Jamaa alienda kumzika mkewe upareni na alirudi jana na leo amekuja job.Wakati tunaendelea kumpa pole za hapa na pale!! .Simu yake iliita na alikwenda kuongelea pembeni.Aliporudi alitueleza mzee mwenye nyumba anataka kodi yake siku ya tarehe 01 saa mbili sharp bila kukosa na awali alikuwa alikuwa analipa kwa miezi sita sita but mzee kamwambia kwa tarehe hiyo alipe ya mwaka na kama hataweza tarehe 2 January ahame!
My take: sikatai jamaa kulipa kodi kwa kipindi hicho but ni vema wenye nyumba mkawa na busara ya kumvumilia kidogo mtu hata apumzike kidogo then ndo umweleze.Kufiwa na mke na mtoto mara moja si jambo dogo na pia kitendo cha kupandisha miezi ya kulipia bila taarifa ya miezi mitatu pia si ustaarabu.
Tiririkeni waungwana.
Mwaka 2015 iwe isiwe lazima na mimi nipate kibanda changu cha kujisitiri na familia yangu maana tusio na nyumba sometimes naona kama tunyanyasika!!
Hivi juzi juzi jobmate mwenzangu alipoteza mke na mtoto katika ajali ya bus huko Musoma,na mmoja ya waliokuwepo kwenye msiba huo ni baba mwenye nyumba anapoishi.
Jamaa alienda kumzika mkewe upareni na alirudi jana na leo amekuja job.Wakati tunaendelea kumpa pole za hapa na pale!! .Simu yake iliita na alikwenda kuongelea pembeni.Aliporudi alitueleza mzee mwenye nyumba anataka kodi yake siku ya tarehe 01 saa mbili sharp bila kukosa na awali alikuwa alikuwa analipa kwa miezi sita sita but mzee kamwambia kwa tarehe hiyo alipe ya mwaka na kama hataweza tarehe 2 January ahame!
My take: sikatai jamaa kulipa kodi kwa kipindi hicho but ni vema wenye nyumba mkawa na busara ya kumvumilia kidogo mtu hata apumzike kidogo then ndo umweleze.Kufiwa na mke na mtoto mara moja si jambo dogo na pia kitendo cha kupandisha miezi ya kulipia bila taarifa ya miezi mitatu pia si ustaarabu.
Tiririkeni waungwana.