Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,141
- 13,215
ni kweliAnachunwa tu babu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweliAnachunwa tu babu
talk of Chinese as wellMzee hazeiki maini.......
unawakumbuka walee wa kule........
hawa vibabu nasikia wanajua ku handle wajukuu zao balaa
Jaribu itupe facts, hii naskia skia inawadangaya wengi!
Mhnnn... Haya bana.... kwani vijana hawaendi huko ''uvinza''???anachunwa lakini anafaidi raha za chumvini
babu = na babykwa hiyo huyo babu nae anakubali kuitwa bebi....
hahahahahaha..kiongozi...umesomekaJamani Heaven on earth sijasema, 'baaabu' nimesema 'babu'!!!
kwahiyo hapo babu ndio gari bovu?Kwa kawaida mkuu gari mbovu inakokotwa na gari nzima
eti eeh kule kwny bwawa la uvinza...sio?anachunwa lakini anafaidi raha za chumvini
mzee mwenye nguvu zake huyu...
Hauta ona tofauti, watu ndio watakuona mzee, ila wewe utajiona uko poa tu, na utaendelea kuponda raha, mpaka utakapoanza kushindwa kutembea, then utatambua, you are now finished.........yani mie naomba kweli nisizeeke sijui!!! maana nikiona hiyo ngozi ilivyojikunja nanywea!!!
kaka haya mambo ya mjini, sio ndio hawa wanaitwa bebi...