Wenye ndoa piteni hapa kwa ushauri

Mambo ya kishule shule ndo yapi na ya kiutu uzima ndo yapi..
Kishuleshule ni honey, sweet, asali wa moyo, na kama hayo. Ya kiutu uzima ni miriam, juma, asha. Ndio heshima kwake. Andika jina lake.
 
You are really an intelligent,washauri wengi wameona kosa kwenye kuseviwa madam,hayo matamshi hawakuyaona. Na kuna thread humu huyu bwana alishalalamika kuhusu ukorofi wa mkewe,hilo la 'madam' ni muendelelezo wa muvi zao.

Basi kama ni hivyo huu ni upumbavu wa watu wazima kupotezeana muda bure.
 
uelewa tu tofauti,me mke wangu nimemsave "wife" lakin yeye namba zangu zote hajasave jina lolote toka uchumba,na sijawahi jisikia vibaya...ok,mpe elimu,mpe tena elimu na mwisho mpe elimu tena na tena.
 
Aisee mambo mengine ni complications zisizo na msingi, binafsi ikitokea nikao bas mke wangu nitam save kwa jina lake tu.
 
Wewe ni mwana ndoa mwenzangu....lakini inategemea na alivyopokea japokuwa jina Madam halina uzito na jinsi alivyokwako.....amini hata wewe ungekuwa saved GUY sijui ungejisikiaje,mfano mie mke wangu awali nilimsave Mama Jaz yaaan mama wa mtoto wetu ....lakin akaja akasema hapend ni msave hivyo yeye ni mke wangu hivyo anataka nimsave WIFE...nikaona yupo sawa pia hivyo nikamsave kama alivyopenda.....mpaka Leo tunaish kwa amani na furaha
 

Hahahaaaa!Bora mkeo umemsave Madam aisee kuna mtu alimsave mumewe wa ndoa 'kidondandugu':laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:
 
Madam is too formal bhana huwezi kumwita mkeo hvy, its yeye akwite SIR(mmmhhh sounds awkward) apologize n muonyeshe kwamba hukuwa n ufaham na uzito wa hilo neo. Tttz wanaume hawajui tu jaribu kuwaweka wake zenu wajifeel proud jmn
 
hahahahaaaaa!!! imebidi nicheke... mimi ni save utakavyo madam, mama Fulani, kwa jina mradi isiwe tusi, ila mwisho wa siku mimi ni mkeo na wewe ni mume wangu. hao wengine save utakavyo darling, honey, baby, sweetheart, ila mwisho wa siku ni michepuko tu. sioni kilichomkera mkeo kwa kweli. inawezekana pia ki cheap handset ni sababu, alikua anatafuta namna ya kuanza kukueleza. mnunulie iPhone 6 umalize ugomvi:A S wink:
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…