hahahaaa hakuna alotandkwa changa la macho na nilishaapa mume wa m2 simtaki asilani abadani coz manunguniko na machozi ya mkewe hayatatoka bure ndugu yangu,vijana single wapo kibao so nabaki kuwashusha heshima coz nao hawajiheshimuPole sana aisee, hapa itakuwa ulitandikwa changa la macho, pole sana aisee sasa jamaa sijui alifanikiwa? Anyway usijali mama, huwa yanatokea maishani hayo na wewe si wa kwanza........
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mbna ninae wangu jamani wala sina wasi ndugu yangu na ndio maana hawa majibaba nawashusha heshima
<br />
<br />
Mbna ninae wangu jamani wala sina wasi ndugu yangu na ndio maana hawa majibaba nawashusha heshima
<br />Vijana wenzako ulikuwa huwaoni!........ mambo ya kupenda vipoketi money hayo utadhani hamna wazazi.
Kwa mawazo yako unadhani hao wanaokutongoza hapo ofisini wanakupenda?? Usijidanganye hata kidogo, hao ni waonjaji tu hakuna mwenye upendo wa dhati kwako. Ukiingia mkenge baadaye unaanza kulalama na kulaumu utadhani ulilazimishwa au ulibakwa!!<br />
<br />
Mwenzangu hata cjibani ni kwamba nimemaliza chuo mwaka jana na nipo ofc moja najitolea huku nikiendlea kutafuta ajira huku na kule tatizo wanaume weng wa ofc hii ni wasumbufu balaa ful kutongozwa kila unapokatiza afu wengi waume za w2 unapomjibu anakosa nn kwa mkewe anabk kusema huwezi jua kwanini nakutaka ww sa imetokea leo mmoja kaja na mkewe leo ofcn wa ukweli balaa ndo nikashangaa cz cwezi hata kujilinganisha afu anavyompondaga mpk anaboa!
<br />Walai wanaume hasa wenye ndoa mnaboa kweli yani huoni hata aibu kumfata msichana unamtongoza afu unamdanganya eti ntakuoa wakati tayari una pete kubwa kidoleni afu ukimwangalia mkewe huwezi hata kujilinganisha alivyo wa ukweli khaa acheni kutufanya tambala la mlangoni kufutia miguu!
<br />nikawida tu kwa sisi tuliooa, lazima mtu abadili mboga, leo nyama, kesho mchicha, matembele, samaki n.k... Na kwakawaida mboga zinazidiana uzuri ila ni muhimu kubadilisha hivyo usione hatari.
Usiusemee moyo, maana wapo walisema leo ndio kwanza!!!!<br />
<br />
la hasha na haitakaa itokee wangu,w2 2mejipanga 2najiamini hatuli vya w2 ndugu yangu
Usiusemee moyo, maana wapo walisema leo ndio kwanza!!!!
Aiseee! Sasa si ungemwambia live huko huko ofisini kwenu? Au yupo huku jf???.. Usimwogope mfikishie huu ujumbe uliouweka hapa... Pole sana!<br />
<br />
Mwenzangu hata cjibani ni kwamba nimemaliza chuo mwaka jana na nipo ofc moja najitolea huku nikiendlea kutafuta ajira huku na kule tatizo wanaume weng wa ofc hii ni wasumbufu balaa ful kutongozwa kila unapokatiza afu wengi waume za w2 unapomjibu anakosa nn kwa mkewe anabk kusema huwezi jua kwanini nakutaka ww sa imetokea leo mmoja kaja na mkewe leo ofcn wa ukweli balaa ndo nikashangaa cz cwezi hata kujilinganisha afu anavyompondaga mpk anaboa!