Tumuondoe kwanza Mbowe...aliyepewa uenyekiti na mkwe wake.
miaka zaidi ya 20 akiwa yeye tu.
ruzuku ya chama anapiga tu na washirika wake.
chama tangu 1992 wamepanga pamoja na luzuku kubwa ya mwezi.
kukosa intergrity kama kiongozi refer kuzaa na mbunge wa viti maalumu nk
Naonga mkonoMsituni
Kwa hilo ni Ngumu sana kwani CCM wana utitiri wa waganga wa kienyeji wasio na idadi mpaka sasa Bashite na mtukufu pekee wana waganga zaidi ya 100 toka mataifa mbalimbali Duniani, achilia mbali CCM wengine ambao nao wana utitiri wa ndumba za kila Aina ujue CCM ndiyo Chama kichawi kuliko vyote Duniani kina hiziri za kila Aina, Dawa ya CCM ni kufurumushwa na majeshi ya NATO au uchaguzi usimamiwe na waangalizi wa kimataifa wasiozidi milion wasambae kila kona nchini.Kuwaendea kwa babu na kuwachapa JUJU viongozi wote wa CCM, kiazai hicho kiangamie na kupotea katika ramani ya dunia. Aliekuwemo na asiekuwemo wachanganywe CCM wote.
Wengine watolewe busha, Wengine wafungwe midomo wasiweze kuongea, wengine wafungwe haja kubwa na ndogo, wengine watokewe majipu kwenye amber rutty zao wasiweze kukaa. Ili wajue raia sasa wamewachoka!!!
Naonga mkono
Hili suala la uchaguzi wa serikali za Mitaa kufanyika mwezi April badala ya October.sio mbinu ya CCM kujifanyia tathmini ya kina sanaOctober 29 2015 Lowasa na Duni walienda Tume ya uchaguzi kupinga kuendelea kutangaza matokeo ya uchaguzi, lakini Lubuva akaendelea kutangaza tena kwa kujiamini kabisa. Baadae akamtangaza mshindi na ccm wakafanya sherehe kubwa, zikafuata chaguzi ndogo ndogo na tulishuhudia yaliokuwa yanatokea. Baadae hapo likafuata jinamizi la sheria kadhaa za kiajabu ajabu kuanzia sheria za vyombo vya habari na nyenginezo pamoja na kuhama kwa baadhi ya wabunge na watu maarufu ambao ni wazi wameshapewa mtonyo ni nini kinaandaliwa, Dudu la kutisha zaidi, Zombie la kuogofya sana linaandaliwa na mwaka ujao 2019 tutalishuhudia likiibuka. Tusijidanganye hakuna uchaguzi mwakwa 2020 na kama utakuwepo wapinzani hawawezi kupata hata wabunge 5 achilia mbali uraisi. Viashiria vipo na wala haihitaji nuclear scientist kudadavua. itafutwe njia nyengine sio kupitia vyama katika kuleta mabadiliko Tz. Take my word.
na si lingineMsituni
Shika USA, UK, France, Israel and Canada waambie hamtaki CCM. Nakuhakikishia ndani ya miezi miwili CCM itakuwa imepotea na kwenda kuijenga Congo DR
Umechoandika ni sahihi .Chadema ni dhaifu sana maeneo karibu yote ya vijijini.Wakiendelea na umjini mjini,wasizingishie kuibiwa kuraKwanza tume huru ya uchaguzi, pili mtaji wa wanachama unahitajika kwa upande wenu,
Kwa sasa hata kama kuna tume huru, CCM anashinda maana ana mtaji wa wanachama, wekezeni kwa wananchi huko vijijini na muwape elimu ya kutosha
Mambo yanabadilika. Mwaka 2007 nilipigwa van humu kwa hilo neno. Wana JF wengi wakiongozwa na Mwafrika wa Kike, walibeba bango😀Msituni
Gamboshi bado ipo? au siku hizi Gamboshi hakuna wachawi wa kutosha?SisiWasukuma tumeyang'oa mapori na misitu minene,mibuyu tumeilaza kasoro ile ya kufanyia mikutano ya usiku ndio kaje ha ka CCM tutakafyeka kama nyasi.
"Katakutana na lubhubhu lwa mbiti"
Waking'olewa na western countries lazima ubakie kuwa Dar es salaamFanya mipango mshawishi Naibu Rais Bashite akamchochee mtukufu awafukuze mabalozi wa Nchi hizo ili wapate kuwasha moto , vp CCM iking’oka mji mkuu utaendelea kuwa Dodoma? au watarejea Dsm au mji mkuu utakuwa kwingineko nchini?
hujajibu swali. alishinda au alitangazwa mshindi? zile komputa za LHRCNenda kawaongopee wajinga wenzio huko kijijini