Wenye matatizo ya macho(wavaa miwani) na nafasi za jeshi

Nimependa sana watu walivyokua wana comment kwenye huu uzi, samahani sana kwa kuleta mada tofauti na hii mliyokua mnaizungumzia ndugu zangu.
Kwakweli mimi hua napenda sana kujiunga JWTZ yaani napenda sana, mwezi wa 6 ndio namaliza chuo nasoma bachelor ya Education, na nina miaka 26 kwa sasa. Je kwa huu umri naweza kweli kupata nafasi ya kujiunga na jeshi.? Maana nasikia mwisho ni 25. Natanguliza shukrani zangu

Mwalimu Fabian Manumba...kwa nini unapenda kujiunga na JWTZ?
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zangu tuache na utani,huwezi kupiga depo na miwani.Itakusumbua,itaanguka mara nyingi,itachubuka na hutotamani hata kuwa nayo.Kama umewahi kupitia mafunzo yoyote ya kijeshi hata National Service tu utanielewa ninachokisema particulary during the so called “six weeks“.Huu ni mtazamo wangu tu lakini
 
Ndugu zangu tuache na utani,huwezi kupiga depo na miwani.Itakusumbua,itaanguka mara nyingi,itachubuka na hutotamani hata kuwa nayo.Kama umewahi kupitia mafunzo yoyote ya kijeshi hata National Service tu utanielewa ninachokisema particulary during the so called “six weeks“.Huu ni mtazamo wangu tu lakini

Na wale walioajiliwa, kisha wakapatwa na tatizo la macho, wanafanyaje mazoezi pindi wakiwa kozi?
 
duuh! bandugu ndot yangu ndo inakufa maji hiviiiii
 
Unapojiunga na jeshi huwa kuna vipimo vingi, macho ni mojawapo ya vipimo, mf. urefu ni moja ya kigezo cha kuchukuliwa jeshini, hivyo kuna utaratibu wa kupata kipimo cha urefu, lakini jiulize leo unakutana na askari wafupi kama watoto wa chekechea, jiulize wanaingiaje huko kundini wakati warefu ndio wanahitajika? je hao wafupi hawakupimwa urefu wa kimo?
yaani hapa umenena ndugu, wafupi wapo wengi sana. Sijui imekuaje et.
 
uwezekano upo tena mkubwa sana,wa kujiunga jwtz mwenye 4m six hua miaka 24-27 na dplom kunzia miak 28-30 ila lazima upitie jkt kwanz ila kama upo upande wa Doctor ndo unawez kwend moj kwa moj jwtz,sawa mura
 
Ndugu zangu tuache na utani,huwezi kupiga depo na miwani.Itakusumbua,itaanguka mara nyingi,itachubuka na hutotamani hata kuwa nayo.Kama umewahi kupitia mafunzo yoyote ya kijeshi hata National Service tu utanielewa ninachokisema particulary during the so called six weeks.Huu ni mtazamo wangu tu lakini
Hizi so called "six weeks" ni za nini mkuu?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom