Wenye matatizo ya macho(wavaa miwani) na nafasi za jeshi

huwezi kuchukuliwa labda matatizo yaanze ukiwa tayari mjeda

Ni kweli huwezi kuchukuliwa kama ulivyosema, ila hiyo haitoshi kusema kwamba huwezi kuingia jeshi ukiwa na matatizo ya macho hadi kupelekea kuvaa miwani, jiulize ni wangapi wanaojaribu kuingia jeshi wakiwa na afya zao ila wanakosa nafasi ya kuajiriwa baada ya kutoka jkt?
 
Mkuu mtoa mada, ukiwa na matatizo ya macho au yeyote yale unakuwa termed as UNFIT na kuwa disqualified kwenye usaili

Wanajeshi unaowaona wanavaa miwani ni kwamba wameyapata hayo matatizo wakati wameshaandikishwa na jeshi la wananchi
 
mimi navaa miwani since then, nipe AK47 weka ndizi juu yakichwa meta 100 nikiikosa nakupa unipige wewe.
 
Ndugu yangu jeshi letu ni makini sana,na linautaratibu wake wa kuwapata watumishi,kiukweli ukiwa na miwani sio rahisi kupata ajira kwani hiyo tayari ni dosari,tunataka bomu lukulipukie huko na cheche zikuchome machoni ndo atleast uanze kupewa panadol so kama unaanza matatizo ya kuvaa miwani mapema hata kama ulikuwa unasoma sona,tayari umepoteza sifa,afu wanajeshi wanaovaa miwani wengine wapo kazini hiyo miwani inakuona wewe mpaka kwenye maini yako na utumbo kama umeweka al shabaab na janjawidi humo lazima wamulikwe,so hapo ukiona mwanajeshi kavaa miwani jua mwenzio yuko kikazi zaidi na anatekeleza majukumu ya kitaifa kwa usalama wa raia na mali zake,so tafuta kazi nyingine kijana..........futa ndoto hiyoooooo.

Siamini kama wewe cruta.
 
Kwenye web site yao kati ya kigezo kimojawapo ni " awe mwenye afya njema" nadhani kuvaa miwani ni tatizo la kiafya. Swali la kizushi: Je unaweza kuruka vikwazo, kufanya mazoezi ya kamba au underfire na miwani?

Kwanini isiwezekane mkuu? kuna jamaa anavaa miwani mda wote, na huwa anapenda sana kuruka sarakasi na kukimbia mchakamchaka, na wakati wote huo anakuwa amevaa miwani, na yupo fit, kwahyo suala la kuvaa miwani haliathiri mafunzo ya jeshi ila ni utaratibu ndio unataka watu wawe n
 
Huyo jamaa ka-comment pumba tupu, kuna miwani gani inayoonesha hadi utumbo wa mtu? na kazi ya usalama wa raia na mali zao, si kazi jwtz kama alivyosema huyo jamaa, tena anaonekana ni limbukeni wa issues za kijeshi.

Kabisa huyu mjeda sijui aliingiaje huko...usalama wa raia na mali zao si polisi hao mkuu...major@Kalamu ya chuma....jipange vizuri...siafiki hicho kitu labda uzungume vingine.. Wisest man;9151986...kweli tu labda alitaka potosha umma.
 
Last edited by a moderator:
Unapojiunga na jeshi huwa kuna vipimo vingi, macho ni mojawapo ya vipimo, mf. urefu ni moja ya kigezo cha kuchukuliwa jeshini, hivyo kuna utaratibu wa kupata kipimo cha urefu, lakini jiulize leo unakutana na askari wafupi kama watoto wa chekechea, jiulize wanaingiaje huko kundini wakati warefu ndio wanahitajika? je hao wafupi hawakupimwa urefu wa kimo?
 
Unapojiunga na jeshi huwa kuna vipimo vingi, macho ni mojawapo ya vipimo, mf. urefu ni moja ya kigezo cha kuchukuliwa jeshini, hivyo kuna utaratibu wa kupata kipimo cha urefu, lakini jiulize leo unakutana na askari wafupi kama watoto wa chekechea, jiulize wanaingiaje huko kundini wakati warefu ndio wanahitajika? je hao wafupi hawakupimwa urefu wa kimo?

Hiki kilikuwa zamani siku hizi mandata wengi wafupi
 
Hiki kilikuwa zamani siku hizi mandata wengi wafupi

Mkuu fidel80 kuna kiwango cha mwisho cha urefu unaohitajika jeshini, sio kweli kwamba urefu hauzingatiwi jaribu kuuliza kwa askari yeyote unayemjua ameingia jeshini miaka ya karibuni atakwambia. nafikiri wisest man yupo sahihi.
 
anasema ukiwa na ugonjwa wa macho uraiani maanake upo unfit kujoin military ila ukipata ugonjwa huo ukiwa jeshini hakuna tatizo

Hapo hata mimi nashangaa, kuvaa miwani sio tatizo sana, sema jeshini wanatumia vigezo vya afya ila haimaanishi kwamba huwezi kuajiliwa jeshini kwa sababu ya kusumbuliwa na macho.
 
Hapo hata mimi nashangaa, kuvaa miwani sio tatizo sana, sema jeshini wanatumia vigezo vya afya ila haimaanishi kwamba huwezi kuajiliwa jeshini kwa sababu ya kusumbuliwa na macho.

Hata mimi ndicho nilichouliza na kushangaa pia but jamaa analeta ubishi usiokuwa na maana. Nimemuuliza je kwa wale wanaopata matatizo ya Macho wakiwa tayari washaajiriwa ajira yao au mikataba yao ya kazi inasitishwa?na kama wanaendelea na kazi kwa kigezo tuu eti walipata hayo matatizo ya Macho wakiwa in-services sasa kwa nini wale waliokuwa wanafanyiwa usaili wenye tatizo sawa na hao waachwe?na je hao wenye matatizo ya Macho ina maana hakuna tiba ya kuwafanya wafanye kazi zao kwa ufanisi na ukizingatia sasa hivi sciences na technology kwa ujumla ipo juu sana.
 
Hata mimi ndicho nilichouliza na kushangaa pia but jamaa analeta ubishi usiokuwa na maana. Nimemuuliza je kwa wale wanaopata matatizo ya Macho wakiwa tayari washaajiriwa ajira yao au mikataba yao ya kazi inasitishwa?na kama wanaendelea na kazi kwa kigezo tuu eti walipata hayo matatizo ya Macho wakiwa in-services sasa kwa nini wale waliokuwa wanafanyiwa usaili wenye tatizo sawa na hao waachwe?na je hao wenye matatizo ya Macho ina maana hakuna tiba ya kuwafanya wafanye kazi zao kwa ufanisi na ukizingatia sasa hivi sciences na technology kwa ujumla ipo juu sana.

Kiongozi naona una asili ya ubishi...janjawidi kakujibu vzr tu...labda una kitu kingine mkuu.
 
Kigezo cha urefu kilikuwa zamani, zamani walikuwa wanaajiri kutokana na nguvu, siku hizi ajira ni kisomo sio mumbile!!
 
Usifikiri miwani wanayovaa ile ni miwani ya macho ni miwani ya kuona kitu kikiwa mbali na pia ina sensi kitu cha sauti na kukupa angalizo kwa taratibu za jeshi hutakiwi kuajiliwa ukiwa na matatizo ya macho ila ukimaliza mafunzo ukaja kuumia kazini hilo si tatizo lako au unauliza miwani gani kama mapambo askari haruhusiwi kuvaa miwani isipokuwa kwa order maalumu au umevaa miwani ya kazi na sio kama urembo
Wewe kama nani mpaka usiwatake?siku hizi hakuna kitu kama hicho unachosema wewe,mbona Marekani na Majeshi ya Nchi nyingine kuna Wanajeshi kibao tuu wanavaa miwani tena wapo kwenye mapambano mstari wa mbele kabisa na Miwani zao na tena kuna mpaka Special Forces i.e U.S Seal wanavaa miwani.
 
Mkuu awali ya yote kuna sheria kama mbili zinazotawala majeshi sheria ya jeshi sheria ya utumishi wa umma na sheria mama au katiba
sheria ya utumishi wa umma inaeleza kuwa mfanyakazi akiumia akizini au kupata ugonjwa hatafukuzwa kazi ila ataendelela na kazi kama kawaida tu na hii ndio utaratibu wake ukija swala la kuajili mwajili anataka kuajili mtu mzima inamaana kama unafanya usaili utaferi sababu ya afya inamatatizo ya macho kuna siraha nyingine wahitaji kuona vizuri si kwa miwani na wakati wa mazoezi utaferi au kuumia sababu ya vumbi na mambo mengine na ukija kwenye sheria mama inaorodhesha sifa za kuwa mwanajeshi kwa kushirikiana na tume ya utumishi ya jeshi kama tume ya utumishi itaona kupunguza vigezo au kuongeza ina mamlaka
Hata mimi ndicho nilichouliza na kushangaa pia but jamaa analeta ubishi usiokuwa na maana. Nimemuuliza je kwa wale wanaopata matatizo ya Macho wakiwa tayari washaajiriwa ajira yao au mikataba yao ya kazi inasitishwa?na kama wanaendelea na kazi kwa kigezo tuu eti walipata hayo matatizo ya Macho wakiwa in-services sasa kwa nini wale waliokuwa wanafanyiwa usaili wenye tatizo sawa na hao waachwe?na je hao wenye matatizo ya Macho ina maana hakuna tiba ya kuwafanya wafanye kazi zao kwa ufanisi na ukizingatia sasa hivi sciences na technology kwa ujumla ipo juu sana.
 
Mkuu awali ya yote kuna sheria kama mbili zinazotawala majeshi sheria ya jeshi sheria ya utumishi wa umma na sheria mama au katiba
sheria ya utumishi wa umma inaeleza kuwa mfanyakazi akiumia akizini au kupata ugonjwa hatafukuzwa kazi ila ataendelela na kazi kama kawaida tu na hii ndio utaratibu wake ukija swala la kuajili mwajili anataka kuajili mtu mzima inamaana kama unafanya usaili utaferi sababu ya afya inamatatizo ya macho kuna siraha nyingine wahitaji kuona vizuri si kwa miwani na wakati wa mazoezi utaferi au kuumia sababu ya vumbi na mambo mengine na ukija kwenye sheria mama inaorodhesha sifa za kuwa mwanajeshi kwa kushirikiana na tume ya utumishi ya jeshi kama tume ya utumishi itaona kupunguza vigezo au kuongeza ina mamlaka

Kiongozi unajichosha tu...huyo jamaa hataki kuelewa kama unabisha hili.

Ngoja aje tena utamsikia.
 
Back
Top Bottom