Precious Diamond
JF-Expert Member
- Jun 9, 2023
- 400
- 1,002
Imeendana vipi na mada hapo Mkuu?A friend tells you what you want to hear.
A best friend tells you the truth.
Ni imani potoshi au ni sayansi tunayoikimbia kutokana na dini tulizorithi?Sio kweli ni imani potofu kuhusianisha majina ya watu na tabia zao au zodiac signs
Halafu hili ni tatizo lenu ke
kwamba mtu akipewa jina flani anakua na tabia flani? haijakaa kisayansi kabisa, ni imani potofuNi imani potoshi au ni sayansi tunayoikimbia kutokana na dini tulizorithi?
Au kwasababu herufi ya jina lako haijatajwa Mkuu?🤪🤪kwamba mtu akipewa jina flani anakua na tabia flani? haijakaa kisayansi kabisa, ni imani potofu
hamna tofauti na wale wanaoamini paka ana roho 7 au bundi ni mchawiAu kwasababu herufi ya jina lako haijatajwa Mkuu?🤪🤪
Haya bwana, naona umejibu kisayansihamna tofauti na wale wanaoamini paka ana roho 7 au bundi ni mchawi
😂😂 ndio umesema aliyetoa elimu yake ni mjinga?Kiranga yupo sahihi: Ujinga katika jamii ya Kitanzania umekaa kiutamaduni zaidi, ni ngumu sana kuutokomeza kwa kwenda shule
Kiranga hii pointi yake tangu jana imenifikirisha sana, uliyosema yote hapa ni ukweli mtupu. Juzi kati nilienda kijijini huko nyanda za juu kusini nimekuta watu wanafanya mambo ya kijinga wasomi na ambao sio wasomi, watu wengi bado wana imani potofu sana, kwakweli inasikitisha sana. Nina...www.jamiiforums.com