rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,327
- 5,599
Kwa wenye mikweche kama mimi wenye kuweka lita mojamoja nawashauri mtakapoona mafuta kwenye petrol station popote tafadhali weka mafuta ya kutosha maana vituo vyote tayari wameishaanza kugomea kuuza mafuta. Nimekwenda kununu mafta kwenye petrol station moja wamesema kwamba haiwezekani kununua zaidi ya lita kumi. Na vituo vingi wamekataa au wamegoma kabisa kuuza mafuta kwamba mafta yameisha.