TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,975
- 15,316
Binafsi nakerwa sana na watu wenye "line" lukuki za simu. Unakuta mtu ana line ya voda, tigo, airtel, zantel nk. Zote izo za kazi gani?? Matokeo yake kila ukimtafuta mtu utasikia mara..
"Nicheki kwenye airtel hiyo Voda haina chaji.."
"Nipigie namba ya tiGo, airtel nimeacha nyumbani"
"Hela umetuma mpesa? Aaargh hiyo line siko nayo sasa mpaka nirudi home.."
"Namba iliopo WhatsApp ni ile ya Zantel.."
" Unasemaje sijakupigia, kwani hukuona namba ya tiGO imeku miss call..?"
"Mimi si ndio nilikupigia kwa namba ya TTCL, mbona hujapokea.....?"
Jamani..! Mimi nnaposave namba yako, nasevu kwa JINA sio kwa mtandao uliopo. So ata sijui namba ya zantel inafananaje?
Ukiniambia nikucheki airtel yaani unanipa kazi ya ziada kuanza kutafuta namba za airtel hua zikoje ndio nijue ni ipi?
Mi nachoka sana..
"Nicheki kwenye airtel hiyo Voda haina chaji.."
"Nipigie namba ya tiGo, airtel nimeacha nyumbani"
"Hela umetuma mpesa? Aaargh hiyo line siko nayo sasa mpaka nirudi home.."
"Namba iliopo WhatsApp ni ile ya Zantel.."
" Unasemaje sijakupigia, kwani hukuona namba ya tiGO imeku miss call..?"
"Mimi si ndio nilikupigia kwa namba ya TTCL, mbona hujapokea.....?"
Jamani..! Mimi nnaposave namba yako, nasevu kwa JINA sio kwa mtandao uliopo. So ata sijui namba ya zantel inafananaje?
Ukiniambia nikucheki airtel yaani unanipa kazi ya ziada kuanza kutafuta namba za airtel hua zikoje ndio nijue ni ipi?
Mi nachoka sana..