Wenye bibi zetu tunatiamo grisi tuu

Wenye bibi zetu tunatiamo grisi tuu

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,938
D2E6B2DF-3480-4DDB-B2DA-E31DA08F6A90.jpeg

Maisha yanasonga na grisi ya bibi
 
Jana nilikua kwenye daladala kurudi nyumbani mida ya usiku nilikaa siti moja na kijana wa kiume.
Alikua na tekno ile ya tochi ndogo kuanzia nimepanda alikua anatuma msg nikashindwa vumlia ikabidi nipige chabo ya kigaidi hahahaa!!! kumbe mdau alikua anaandika msg ya namna hiyo ila nahisi alikua anayatafuta maneno mana alikua anaandika na kuyafuta , halafu namba iliyokua inatumiwa hiyo msg imeandikwa mganga wa mbande.
 
Jana nilikua kwenye daladala kurudi nyumbani mida ya usiku nilikaa siti moja na kijana wa kiume.
Alikua na tekno ile ya tochi ndogo kuanzia nimepanda alikua anatuma msg nikashindwa vumlia ikabidi nipige chabo ya kigaidi hahahaa!!! kumbe mdau alikua anaandika msg ya namna hiyo ila nahisi alikua anayatafuta maneno mana alikua anaandika na kuyafuta , halafu namba iliyokua inatumiwa hiyo msg imeandikwa mganga wa mbande.
Hahahahahaha
Ulikaa na bibi yangu mkuu nadhani msg alizokua anatumia wajukuu zake mojawapo nimeipata mjukuu wake mimi 😀

Unafanyaje sasa baada ya kuona ivo
 
Jana nilikua kwenye daladala kurudi nyumbani mida ya usiku nilikaa siti moja na kijana wa kiume.
Alikua na tekno ile ya tochi ndogo kuanzia nimepanda alikua anatuma msg nikashindwa vumlia ikabidi nipige chabo ya kigaidi hahahaa!!! kumbe mdau alikua anaandika msg ya namna hiyo ila nahisi alikua anayatafuta maneno mana alikua anaandika na kuyafuta , halafu namba iliyokua inatumiwa hiyo msg imeandikwa mganga wa mbande.
Mh
 
Chupa za BIA, BIA, BIA, BIA, BIAAAAAA...

Jeeeeeeeeee, unazoooooo?...
 
Yeye msg zake ni anamtumia shemeji km huyo bibi alivotuma kwa mwizukulu
Hahaha ohhhhh hawa watu wananiuzi sana naona sasa wamehamia ktk Airtel yangu jana ilikua tigo. Sitaki kuwajibu
 
Jana nilikua kwenye daladala kurudi nyumbani mida ya usiku nilikaa siti moja na kijana wa kiume.
Alikua na tekno ile ya tochi ndogo kuanzia nimepanda alikua anatuma msg nikashindwa vumlia ikabidi nipige chabo ya kigaidi hahahaa!!! kumbe mdau alikua anaandika msg ya namna hiyo ila nahisi alikua anayatafuta maneno mana alikua anaandika na kuyafuta , halafu namba iliyokua inatumiwa hiyo msg imeandikwa mganga wa mbande.
Hizo chabo zako kuna siku utajuta kwa nn umepeleka macho huko!! Hahahaaa
 
Hizo chabo zako kuna siku utajuta kwa nn umepeleka macho huko!! Hahahaaa

Ni kama alikua anataka nione mana simu ilikua karibu kabisa na mimi. Nilijua anatongoza mtu mana alikua anaandika na kufuta nilitamani kujua ujumbe ule umebeba zana gani za maangamizi ........!!
 
Ni kama alikua anataka nione mana simu ilikua karibu kabisa na mimi. Nilijua anatongoza mtu mana alikua anaandika na kufuta nilitamani kujua ujumbe ule umebeba zana gani za maangamizi ........!!
au ulifikiri ni wako? maana kuna wale akina sisi wazito kusema, huwa tunaandika unashangaa ukipiga chabo unaona ugonjwa ni wako..
 
Ni kama alikua anataka nione mana simu ilikua karibu kabisa na mimi. Nilijua anatongoza mtu mana alikua anaandika na kufuta nilitamani kujua ujumbe ule umebeba zana gani za maangamizi ........!!
Haha unapenda mtongozo kumbe
 
Back
Top Bottom