Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,383
- 1,248
WanaJF,
Heri ya Jumatatu! Mara nyingi sana nimesikia, nimesoma mengi juu ya uchafuzi wa image ya aliyekuwa Rais wetu JPM - wengine hujenga hoja dhaifu juu ya Katiba mpya (hawa wanaweza kuwa sahihi lkn tujiulize KIPINDI JPM ANAOMBA URAIS WAPI ALIPOAHIDI KULETA KATIBA MPYA? Aliahidi kushugulikia ufisadi na ndicho kilitokea!
Pili, aliahidi kushugulikia Miundombinu ya viwanja vya ndege ili akina Lissu, Lema, Zitto, Prof Lipumba, Mbowe, nk wapande ndege kwenda na kurudi nchini bila kikwazo - VIWANJA VILIJENGWA na wanufaika wakuu ni CDM, NCCR, ACT, CUF nk
Tatu, aliahidi kushugulikia Miundombinu ya Bwawa kubwa la umeme la Mwl Nyerere, Rusumo, Rea, na DARAJA LA BUSISI haya nayo yanaenda kukamilika - wanufaika watakuwa CDM, NCCR, CUF, ACT nk
Nne, aliahidi kufanya mageuzi ktk sekta ya madini leo kila wilaya ina soko na watu wanashughulikia masuala ya madini hapa pia wanufaika wakuu ni CDM, NCCR, CUF, ACT nk kwa kuwa RUZUKU mnazopata chanzo ni uimara wa mapato ya SERIKALI!
Tano, mengineyo - yapo mengi mazuri hatuwezi kuyataja yote hapa yaliyoanzishwa na JPM lkn CDM, NCCR, ACT, CUF nk hujitia upofu kama hawayaoni NI AIBU YAO leo wamekosa agenda na kukandya:-
(a) BODABODA
(b) Vikoba vya wanawake
(c) Wakulima wa avocado
(d) Watumishi wa umma!
Sisi CCM makundi hayo yote tumayachukulia kama mtaji wa kisiasa
CCM ni Tanzania!
Tanzania ni CCM.
Heri ya Jumatatu! Mara nyingi sana nimesikia, nimesoma mengi juu ya uchafuzi wa image ya aliyekuwa Rais wetu JPM - wengine hujenga hoja dhaifu juu ya Katiba mpya (hawa wanaweza kuwa sahihi lkn tujiulize KIPINDI JPM ANAOMBA URAIS WAPI ALIPOAHIDI KULETA KATIBA MPYA? Aliahidi kushugulikia ufisadi na ndicho kilitokea!
Pili, aliahidi kushugulikia Miundombinu ya viwanja vya ndege ili akina Lissu, Lema, Zitto, Prof Lipumba, Mbowe, nk wapande ndege kwenda na kurudi nchini bila kikwazo - VIWANJA VILIJENGWA na wanufaika wakuu ni CDM, NCCR, ACT, CUF nk
Tatu, aliahidi kushugulikia Miundombinu ya Bwawa kubwa la umeme la Mwl Nyerere, Rusumo, Rea, na DARAJA LA BUSISI haya nayo yanaenda kukamilika - wanufaika watakuwa CDM, NCCR, CUF, ACT nk
Nne, aliahidi kufanya mageuzi ktk sekta ya madini leo kila wilaya ina soko na watu wanashughulikia masuala ya madini hapa pia wanufaika wakuu ni CDM, NCCR, CUF, ACT nk kwa kuwa RUZUKU mnazopata chanzo ni uimara wa mapato ya SERIKALI!
Tano, mengineyo - yapo mengi mazuri hatuwezi kuyataja yote hapa yaliyoanzishwa na JPM lkn CDM, NCCR, ACT, CUF nk hujitia upofu kama hawayaoni NI AIBU YAO leo wamekosa agenda na kukandya:-
(a) BODABODA
(b) Vikoba vya wanawake
(c) Wakulima wa avocado
(d) Watumishi wa umma!
Sisi CCM makundi hayo yote tumayachukulia kama mtaji wa kisiasa
CCM ni Tanzania!
Tanzania ni CCM.