Wenje na Heche washikiliwa na polisi

Wenje na Heche washikiliwa na polisi

USTAADHI

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2011
Posts
1,516
Reaction score
136
Ndugu wanabodi taarifa za uhakika zinasema mbunge wa NYAMAGANA EZEKIEL WENJE na aliyekuwa mwenyekiti wa vijana CHADEMA Taifa ndugu JOHN HECHE wanashikiliwa na jeshi la polisi Mwanza kwa kosa la UCHOCHEZI na kumtukana mkuu wa mkoa wa Mwanza Ndugu MAGESSA Mulongo. Mpaka sasa hawajatoka na haijulikani hatma zaidi.
..............
 
ndugu wanabodi taarifa za uhakika zinasema
mbunge wa NYAMAGANA
EZEKIEL WENJE na aliyekuwa mwenyekiti wa vijana CHADEMA Taifa ndugu JOHN HECHE wanashikiliwa na jeshi la polisi Mwanza kwa kosa la UCHOCHEZI na kumtukana mkuu wa mkoa wa mwanza Ndugu MAGESSA mulongo
mpaka sasa hawajatoka na haijulikani hatma zaidi
..............

Hahahahahhahaha mbona hakumfunga lema?
 
duh ndo matokeo ya kutumia kifua badala ya ubongo!!jamaa anapenda kujikweza kama kakake mhongo!!!
 
Huyo nae ni shida kumbe, Mkongo alikuwa kila siku na Lema ugonvi kumbe ndio tabia yake? Basi sawa kama katumwa kupambana na Chadema.
 
ndugu wanabodi taarifa za uhakika zinasema
mbunge wa NYAMAGANA
EZEKIEL WENJE na aliyekuwa mwenyekiti wa vijana CHADEMA Taifa ndugu JOHN HECHE wanashikiliwa na jeshi la polisi Mwanza kwa kosa la UCHOCHEZI na kumtukana mkuu wa mkoa wa mwanza Ndugu MAGESSA mulongo
mpaka sasa hawajatoka na haijulikani hatma zaidi
..............

Wamechochea nini!? Wamemchochea nani!? Halafu ili iweje!? Hapo Mwanza kuna shughuli nyingi za kufanya, hawezi kuzifanya hizo akaonekana anatenda kazi badala yake anaona utendaji kazi kwake ni kugombana na Wapinzani wake!? Arusha aligombana na Godbless Lema, kaenda Mwanza nako anaparurana na Ezekiel Wenje hivi watawala wa CCM wanamapepo!? Akikaa kimya anaona hasikiki na anahisi kuwa ataonekana hatendi kazi, ili aonekane anatenda kazi asifiwe na Chama Chake ni kuanzisha chokochoko na wapinzani wake!?
 
Mamlaka ya uteuzi inapaswa kuliona tatizo la huyu magesa mulongo,ikibidi wampime pia akili yake kama ipo sawasawa,haina faida yoyote kumteua mtu mwenye historia ya migogoro kila aendapo!!lazima ifike mahali ateuliwe mtu kwa uwezo wake wa kuunganisha uma uliotengana na siyo kuutenganisha,wachukulie mfano kwa aliyekuwa mkurugenzi wa manispaa ya arusha aliyeondolewa kimizengwe mama Sipora liana,huyu aliweza kuunganisha wana arusha kwa kiasi kikubwa mno! Hata madiwani wa kambi zote mbili walishafikia mahali pa kusimama pamoja kupigania ustawi wa wananchi wao,ila aliondolewa na rais kwa maagizo ya huyu huyu mulongo!! Huyu ni mtu au shetani??poleni wana mwanza,kwani yule mwovu yu juu yenu!!
 
nasikia huyo mkuu wa mkoa anatembea na ulinzi kama wa rais jk
_juzi alivyokuwa na mkutano pale mirongo dampo barabara zilifungwa na askari walitapakaa kila sehemu,nilidhani jk ndio anahutubia
 
this mkuu Wa mkoa is so bogus, yaani yeye amejawa na majivuno yasiyokuwa na maana.
Arusha kila siku alikuwa anasababisha vurugu Leo kaja hapa mwanza kaanza na mambo yake ya kujivuna, anapenda Sana Kutafuta sita za kijinga Sana.let's wait and see hapo watamuondoa tu.
 
nasikia huyo mkuu wa mkoa anatembea na ulinzi kama wa rais jk
_juzi alivyokuwa na mkutano pale mirongo dampo barabara zilifungwa na askari walitapakaa kila sehemu,nilidhani jk ndio anahutubia

Utawala unaokaribia mwisho huwa unaanza na style kama hizo! Ukiona mtu anaulinzi mkubwa ujue huwa anaonea watu, hana uhakika na maisha yake ndiyo maana anatembea na ulinzi!
 
novemba kutakuwa na mabadiliko makubwa ndo maana watu wamepagawa
 
huku arusha alishindwa na mwanza atashindwa tu. alafu kuna tetesi yule demu wake aliyetishia polisi na bastola amekuja nae huko mwanza. watu wa huko tupeni taarifa.
 
..Mulungo atasababisha Chadema iimarike Mwanza kama ilivyoimarika Arusha.
 
Huyo Mkuu wa Mkoa ni mpuuzi tu kazoea vya kunyonga...mbona, pamoja na vitisho vya kishenzi, alikwama na kunywea kwa Mbunge wa Simanjiro, Ole Sendeka? Kwa hisani ya Gaspar Ojoro bonyeza hapa;

Mkuu wa Mkoa akwama kwa Mbunge.
 
amemshindwa lema hadi kahamishwa, ameanza na wengine. hivi anafikiri anaongeza kiki kumbe anawapaisha anaowatesa.
 
Dawa ya moto ni moto uchochezi ni kosa la jinai tena iko scheduled serious offence na cognizable offence ambayo imamtaka police afanye direct arrest haina haja ya arrest warrant mkuu wa ni kiongozi mteule wa raisi ni kiongozi penda usipende lazima umuheshimu wenje amezowea kuteki chance safari hivi kapata kiboko chake aende akamuulize lema atapata Jibu mlongo ni kijana lakini ni makini ukija kichwa kichwa utajigongo kwenye kisiki cha jiwe yeye mlongo ni kiongozi anaye jiamini kama meya matata na ameletwa mwanza kuwalekebisha walio shindikana kama wenje anayefanya mambo ya kizamani yakuwajaza vijana na viroba ili wawazomee viongozi akae chonja wakati atapata pata na ile kesi yake ya bunduki mkuu ifufuliwe Ina ushahidi wa wazi wazi simulazie damu kwa hili la wenje mimi nasema tuko pamoja mpaka kieleweke na nyinyi washabiki Kaeni kimya mujionee ngoma inavyochezwa
 
Back
Top Bottom