Wenje asambaratisha CCM Sengerema

Ah! ulikuwa wapi comrade? i missed your great contributions here!
Nipo Comrade.....

Shughuli tu zinabana kiasi kwamba kuna kipindi inakuwa vigumu kuingia jamvini....

Pole sana na msiba wa dada yetu mpenda Regia Dotto Mtema...
 
Nikikuta Hojatete yuko kwenye uzi basi mimi nahama.kwake yeye heasbu hii jibu lake ni haiwezekani:1-2 =
anachokifanya Hojatete ni kumwibia mwajiri wake Nape,maana JF sio wa kuwavuruga akili kwa njia hii manyotumia,wana uwezo wa kuchuja mambo,hizo propaganda za kutaka kuhamisha mawazo ya watu bado kidogo vijijini ambao percent kubwa hawana access ya net.labda mkasimame majukwaani lakini napo bado kidogo tu mtakwama mazima,sasa anaekulipa ili uandike uharo humu sijui nae mko sawa akili zenu.
Muulizeni Kafumu yanayompata huko Igunga jimbo ambalo ndio la watu waliolala lakini tangu wameanza kuona mwanga wanazidi ku-change.
Hojatete mi nahama bana sina cha kjadili na wewe,mpaka utakapoiweza hiyo hesabu hapo juu
 
Mkurugenzi wa mambo ya nje wa CDM ambaye pia ni mbunge wa Nyamagana Ezekiah Wenje jana alifanya mkutano mkubwa wa hadhara mjini Sengerema ambapo wanachama 50 wa CCM walijitoa katika chama hicho na kujiunga na CDM.Mkutano huo unadaiwa kuwa mkubwa kuwahi kufanywa na chama cha siasa mjini hapo.

SOURCE:TANZANIA DAIMA

That's what we want and we expect in this yeas
 
hawa waandishi wengine bana uzushi tu harafu kinachonisikitisha watu wanadandia tu i wish mngekuwepo mkaona yaliyojiri hizo cheap politics hazitawasaidia kitu, huyo wenje mwenywe siku zake zinahesabika arudi kwao huko rorya akapambane na Lameck Airo tulimtumia kwa sababu maalum tu nyamagana.
Acha ushamba na ukabila wewe, mlimtumia wewe na nani kama sio wehu wako. Mimi, mke wangu na house girl wangu tulipoenda kupiga kura hatukuwa na mawasiliano na wewe au wenzio kuwa tumchague nani, tulifanya kwa utashi wetu na naamini wapiga kura wengine walipiga kwa utashi wao sasa nakushangaa wewe kudai mlimtumia Mh Wenje wakati kura yako ni moja. Put your rubbish in the rubbish pit...
 
Tatizo huyo bwana anayebweka na ccm hana ajifunzalo, hajui kuwa watanzania wa leo cio wa jana? Ni mjinga gani anayekubali ku ng'ang'ania chm kinachosababisha njaa, gharama ya maisha kupanda,kiasi kwamba leo watanzania wako km vichaa,utawakuta jalalani wakiokota makopo,takataka za kuuza kana kwamba @ ni biashara! Hawana uhakika na maisha.
 
Hesabu imekaaje? waliochukiliwa na magamba na waliochukuliwa na wakombozi nani wengi?>
 
Wana Mwanza wanataka mzawa Msukuma mwenye kuijua vizuri Mwanza, Wenje, alishinda Nyamagana sababu watu walikuwa hawamtaki Masha..
 
Wana Mwanza wanataka mzawa Msukuma mwenye kuijua vizuri Mwanza, Wenje, alishinda Nyamagana sababu watu walikuwa hawamtaki Masha..
Nilitegemea kwamba labda kwa kuwa mwaka mpya umeingia utakuwa umeshaacha kufikiri kwa kutumia makalio yako, kumbe bado???
 
Back
Top Bottom