Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
angalia apo nyuma umejiny..e...a.Nepu kweli amewaweza vibaraka wake
angalia apo nyuma umejiny..e...a.Nepu kweli amewaweza vibaraka wake
Je alifanikiwa kuwarejesha wale waliodaiwa kunyakuliwa na Ngeleja?
Sasa huyo Wenje alikuwa wapi siku zote kwenda Sengerema??? kaona Ngereja kaenda ndio nae kapata Nguvu???? Siasa zetu bhana kweli full komedi yaani watu ni Kuviziana badala ya kufanya mabo ya maendeleo!! kazi ipo
Siasa za Tanzania bana......Yaani ni kama Ze komedi flani hivi...
Haziishi kushangaza...
Je alifanikiwa kuwarejesha wale waliodaiwa kunyakuliwa na Ngeleja?
Siasa za Tanzania bana......Yaani ni kama Ze komedi flani hivi...
Haziishi kushangaza...
Sasa huyo Wenje alikuwa wapi siku zote kwenda Sengerema??? kaona Ngereja kaenda ndio nae kapata Nguvu???? Siasa zetu bhana kweli full komedi yaani watu ni Kuviziana badala ya kufanya mabo ya maendeleo!! kazi ipo
Wenje ni mbunge, waziri kivuli na mkurugenzi nje! Malipo mara 3!
CHADEMA si magamba wanaosafilisha watu toka wilaya moja kwenda nyingine. mafisadi ccm ndo wanaweza kazi hiyo.Wanachama hao walitoka mwanza.
Acheni kutupumbaza watu
OTIS
Bangi ya masika mbaya, mimi niko Geita mbona sijawaona wala kuwasikia hao unaodai wamerudisha kadi za CDM?katika wilaya ya geita jana viongozi pamoja na wanachama 50 wa chadema walirudisha kadi na kujiunga na CCM.kwa hiyo hadi sasa uongozi wa cdm ktk wilaya za geita,sengerema na mwanza mjini umesambaratishwa mbaya kabisa.