Wengine mnawezaje kuishi mbali na wenza?

Wengine mnawezaje kuishi mbali na wenza?

msosi na mpishi vipo kiongozi,,,shida ni upweke mama mwenye nyumba hayupo
Mi nakuelewa sana, kwakweli hata mimi mwenza akiwa mbali nakuwa mpweke kitanda kinakua kikubwa afu cha baridi, nalala kwa uwoga hata mjusi akipita nashtuka shtuka.

Mapenzi yafutwe
 
Back
Top Bottom