Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 5,165
- 8,959
- Thread starter
- #21
kwavipi kiongozi? wenzio upweke wa kumkosa baby wetu unasumbuaMkuu una majukumu ya kutosha? Naona bado ...... wengine mama yeyo akisafiri ndio tunapumua !
kwavipi kiongozi? wenzio upweke wa kumkosa baby wetu unasumbuaMkuu una majukumu ya kutosha? Naona bado ...... wengine mama yeyo akisafiri ndio tunapumua !
🤔🥺Kua serious mkuu
msosi na mpishi vipo kiongozi,,,shida ni upweke mama mwenye nyumba hayupoChakula kipo ndani bado unahangaika nn
Fimbo ya mbali haiui nyika.Waifu kasafiri kikazi.
Katuachia (mimi na dada wa kazi) upweke kama wote.
Wengine mnawezaje kuishi katika hali kama hii?
Kumbuka tu, hao madada wa kazi huwa na rutuba ya ziada. Ukigusa tu, mimba.
Dah, Golden chance! Eti mzabzab ?Waifu kasafiri kikazi.
Katuachia (mimi na dada wa kazi) upweke kama wote.
Wengine mnawezaje kuishi katika hali kama hii?
Maana yangu tumia huyo house girlmsosi na mpishi vipo kiongozi,,,shida ni upweke mama mwenye nyumba
Golden chance never comes twice...jamaa anatakiwa atumie fursa hiyoDah, Golden chance! Eti mzabzab ?
Nipe mimi madamNjoo huku tukupe kazi za kufanya shenzi kabisa unawaza mapenzii
Utaweza ??Nipe mimi madam
HaswaaaaUtaweza ??
ukigusa nini kiongozi?Tatizo la beki tatu ukigusa tu imoooooo
ukiigusa mbususuukigusa nini kiongozi?
mm mlokole kiongoziukiigusa mbususu
Ukiwa serious ni pmHaswaaaa
uko wote tunaalikwa au?Ukiwa serious ni pm