min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 46,285
- 127,311
Yani ameenda mbali sana kwakweli 😃😃😃Apo amefika mbali![]()
Atakuwa kapigwa matukio sana , kajamaa kamevurugwa kinoumaYani ameenda mbali sana kwakweli![]()


Kwakweli yawezekana😂😂😂🙌Atakuwa kapigwa matukio sana , kajamaa kamevurugwa kinouma![]()
Nashukuru kwa kuwaambia huu ukweliSio kweli.
Kwenye suala la Mapenzi. Mwanaume ni msaliti mara elfu zaidi ya Mwanamke.
Wanawake ni waaminifu Kwa wanaume wanaowapenda.
Ila wanaume siku zote Sisi sio waaminifu hata Kwa Wanawake tunaowapenda. Tamaa ya miili yetu tunaiendekeza mpaka tunawasaliti Wake zetu.


Kweli kabisaSio kweli.
Kwenye suala la Mapenzi. Mwanaume ni msaliti mara elfu zaidi ya Mwanamke.
Wanawake ni waaminifu Kwa wanaume wanaowapenda.
Ila wanaume siku zote Sisi sio waaminifu hata Kwa Wanawake tunaowapenda. Tamaa ya miili yetu tunaiendekeza mpaka tunawasaliti Wake zetu.
Kuna wanawake wengine unamtoa mavumbin Kama nyoka unampa kila kitu ili awe unavyotaka kikiisha changamka kinapita na washkaji zako halafu ukiamua kumuacha awape wana wa enjoy mizagamuo kakichujuka kanakurudia tena ukapige msasa.inakela Bora kila mtu awe na misimamo yake maana wanawake ni wengi na wote wapo kutushindaniaInawezekana elimu ya mahusiano kwako Iko mbali au tofauti,kuachana sio uadui.
Unataka kuzaa na mke wa mtu??Inategemea na tulivyoachana,kuna li x langu alikuwa na kei ukiingiza mbore raw ni kama umeingiza kwenye koromeo hivi yenye vipingili pingili,kei inabana sana na tamu,kaolewa ila namla kila nikihitaji,mwakani tunazaa nae,maisha bila mikasi yafaa nini?
YeahUnataka kuzaa na mke wa mtu??