Wengi mtanitoa akili

Wengi mtanitoa akili

Pole mpaka hapo nafikir umeshajifunza kitu
Usimwamini mtu
Sio kila mtu ni wakumshirikisha kila jambo
Kila jambo unaloambiwa litafakar kwanza kabla ya kukurupuka
 
Mi nakumbuka miaka flani nyuma huko nilikuwa nafanya kazi ya kuajiriwa nalipwa 280000 bc mzee wngu mdgo akanunua daladala akaniita na kuniomba niache kazi niende kusimamia gar yake akanipa siku mbili niwe nimemjibu kifupi mshahara kwl ulikuwa mdgo lkn nilishndwa kuacha nikiwaza Kuna Leo na kesho Mambo za magar hazitabiriki na je tukikorofishana sikumjibu kimya changu kilitosha kuwa jbu
 
Hi

Mimi nilibahatika kupata kazi sehemu fulani mshahara ulikuwa mdogo ila nilificha mtu yoyote asijue napokea kiasi gani

Sasa siku moja katika kuongea nikajikuta nimesema kwa ndugu mshahara wangu wakaanza kunichamba hapa ushibi bora uache iyo kazi tutakutafutia sehemu nyingine acha mara moja nilisemwa sana mengine siwez ongea

Nikaacha ile kazi sasa uhuu yapata mwezi wa nane tangu niache wao wenzangu mambo yao yana nyooka mimi nimekuwa omba omba kwao nachukia kipindi kile nilikuwa napata sawa mshahara kidogo ila nilikuwa siombi
Hakunaga watu wanafelisha wenzao kama ndugu wa karibu stand on your own no one is happy with success wengine wanapenda uwe chini yao so that they use you fikiria mangapi umewafanyia kwa kipindi umeacha kazi, open your mind
 
Hakunaga watu wanafelisha wenzao kama ndugu wa karibu stand on your own no one is happy with success wengine wanapenda uwe chini yao so that they use you fikiria mangapi umewafanyia kwa kipindi umeacha kazi, open your mind
Nilishawahi kufanya maamuzi magumu nyumbani, kuna ndugu wakashangaa na kuuliza, wewe mbona unafanya hivyo?

Miaka 10 baadaye wakaniita, wanaomba msaada wa maisha, wanasema wewe mchizi ulikuwa mbele yetu kwa miaka 10, sisi tulikuwa hatujakuelewa tu wakati ule.

Ningewasikiliza ningekuwa bado sana kufikia malengo fulani sasa hivi.
 
Wizara ya Kazi na Watetezi wa Haki za Wajinga wanaoacha kazi wakatafute kazi.....

Hili nalo mkalitazame
 
Nikishawahi kufanya maamuzi magumu nyumbani, kuna ndugu wakashangaa na kuuliza, wewe mbona unafanya hivyo?

Miaka 10 baadaye wakaniita, wanaomba msaada wa maisha, wanasema wewe mchizi ulikuwa mbele yetu kwa miaka 10, sisi tulikuwa hatujakuelewa tu wakati ule.

Ningewasikiliza ningekuwa bado sana kufikia malengo fulani sasa hivi.
Game changer heads up
 
Back
Top Bottom