Bi. Senti 50
JF-Expert Member
- Apr 17, 2007
- 290
- 12
Sidhani kama kuna ulazima wa wewe kuzungumza na EL kwani ulichosema kuhusu "sungura" siyo tu hakikumfurahisha bali kimetufanya sisi tunaofanya kazi karibu yake kuonekana hatuwezi kujibu hoja. Kila jumatano anataka kuhakikisha umesema nini kwenye makala yako na kama umemtaja.
Leo amefurahi kweli! kwani hukumng'ang'ania. Unajua wiki iliyopita mmoja wa wasaidizi wake alipiga simu Tanzania kulalamika juu ya wewe kumsakama sakama. Nashauri endelea kuwakomalia wengine, mpe ahueni kidogo Waziri Mkuu hasa wakati huu ambapo kama ulivyosema "ameachiwa nchi".
Asante.
Leo amefurahi kweli! kwani hukumng'ang'ania. Unajua wiki iliyopita mmoja wa wasaidizi wake alipiga simu Tanzania kulalamika juu ya wewe kumsakama sakama. Nashauri endelea kuwakomalia wengine, mpe ahueni kidogo Waziri Mkuu hasa wakati huu ambapo kama ulivyosema "ameachiwa nchi".
Asante.