Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,245
Leo hii unamtetea lowassaMwanakijiji,
Lowasa akikataa inabidi kumpaka sana hapa JF na kwenye magazeti kwamba kaogopa kuongea na Watanzania wanaoishi nje, kisa wana uelewo kwahiyo hawezi kuwadanganya nk.
Hivi vita inabidi kupigana kwa njia zote.
Ningefurahi kuona CCM inavunjika ili akina Lowasa wabaki na Chukua Chako Mapema na waadilifu wengine wachukue CCM ya Mwalimu.