Wema wangu umeniponza nimefirisika na kukimbiwa na mke

japo ni stori ila umebugi hapo kwenye wachagga hamna mchaga zuzu hivyo hata familia ingekua upande wako pale ambapo wangejua umempa zaidi ya 10m kuanzisha biashara
 
Dunia hii nani akupekupe hela kirahisi namna hiyo. Acheni mambo ya kitoto kupotezea muda watu wazima. Pumbavu
 
MDAU ANAOMBA USHAURI

"Mimi ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwenye familia ya watoto wanne kwa wazazi wetu huko Moshi - Kilimanjaro.

Nilikuja mjini Dar es Salaam kwa kusaidiwa na kaka zangu wawili hasa huyu wa pili kuzaliwa.

Kwa taratibu za kule kwetu uchagani huwa tuna desturi ya kushikana mkono yaani kusaidia wengine pale unapofanikiwa.

Kaka mkubwa alikuwa wakwanza kufanikiwa nae akamleta mjini kaka yangu wapili kuzaliwa ambaye naye baada ya kufanikiwa akanileta mimi mjini.

Ni kweli katika kupambana kwangu na support niliyopewa nilifanikiwa kumuliki biashara kubwa mjini na nyumba nzuri ya kuishi. Kiufupi maisha yakawa mazuri kimtindo.

Mdogo wetu wa mwisho alipomaliza kidato cha nne kaka zangu wakaniambia nimchukue dogo aje mjini nae nimfundishe maisha kama nilivyosaidiwa mimi.

Hilo halikuwa tabu kwangu nami nilifanya hivyo na dogo akaja mjini akawa anaishi kwangu. Nikamwingiza kwenye biashara zangu kwa lengo nae apate uzoefu ili hata siku nikimfungulia biashara yake basi awe anajua kwa kuanzia.

Nikikaa nae kwangu kwa miaka miwili. Kuna siku alikuja kuniambia kuwa kwasasa amekuwa na anao uzoefu mzuri hata wa kujitegemea mweyewe akaomba nimsaidie pesa ya mtaji akaanze kufanya biashara zake nami sikuwa na hiana nikafanya hivyo.

Nilimuuliza anataka kufanya biashara gani, akaniambia anataka kufanya biashara ya kuuza nguo za kiume. Nilimwambia atafute flemu kisha nilimkabidhi milioni kumi ya kuanzia biashara na baada ya miezi minne nilimpa tena milioni tano kwahiyo jumla ikawa milioni 15.

Hivyo akaondoka nyumbani na kwenda kuanza maisha yake.
Lakini nilimwambia anipeleke nikaone dukani kwake ili nikaangalie pia na mwenendo wa biashara ananizungusha tu mala kesho keshokutwa siku zinazidi kwenda.

Baada ya miezi kama saba hivi au nane akanifuata kazini kwangu anaomba nimsaidie tena milioni tano mambo yake hayaendi vizuri. Kwakuwa najua biashara sometimes zina changamoto nilimpa kama kawaida.

Kuna mtu alikuja kuniambia ndugu yangu mbona unapoteza sana pesa kwa huyo mdogo wako bila mpangilio!! Kumbe siku zote hizo mimi nampa pesa lakini hakuna biashara yoyote anayoifanya. Yaani pesa zote anaenda kufanyia starehe na mademu wa Dar es Salaam, kila kiwanja cha starehe anakijua yeye.

Nilikuja kumwambia tena anipeleke kwenye biashara aliyodai kuwa amefungua ikawa ugomvi mzito eti anasema yeye sio mtoto mdogo hivyo tabia za kumfuatilia fuatilia nikome kabisa hasije kunifanyia kitu kibaya ambacho sitakuja kusahau maishani mwagu.

Baada ya tukio hili niliwafata kaka zetu hao wawili na kuwaambia kuwa kwasasa dogo akikwama tena kimaisha sitamsaidia kwasababu nimeshamsaidia sana lakini hasaidiki na kunitolea kauli chafu.

Hapo tuliitwa kikao hadi wazazi kutoka kwetu kijijini huko Moshi walikuja. Dogo analalamika kuwa hata kwangu nilikuwa namnyanyasa sana ila mke wangu tu eti ndio alikuwa anamuonea huruma mala mojamoja ila mimi eti nina roho mabaya sana ya choyo na chuki dhidi yake.

Dah! Niliumia sana. Nilishikwa na hasira hadi nikashindwa kuongea chochote. Kwa jinsi dogo alivyokuwa anaongea kwa sauti ya juu kaka zangu na wazazi wetu wote walimuamini na kuwa upande wake.

Basi ili kuondoa lawama ilibidi nikope pesa benki na kuweka nyumba yangu kama dhamana. Pesa ile niliyokopa nikampa tena yeye lakini kwa makubaliano kwamba tutasaidiana kulipa deni hilo nae akakubali japo kwasababu tulipeana kifamilia hatukua na maandishi yoyote.

Baada ya rejesho la kwanza dogo aliingia mitini. Nikipiga simu hapokei, kuna siku alipokea aliniambia nisimtafute tena nijue maisha yangu hata akifa nisimzike na nikifa hatokuja kunizika. Kwakweli kama kaka niliumia sana, mimi sijaona sababu ya kwanini tufikie huko.

Hivi ninavyokwambia ule mkopo nilishindwa kurejesha wote peke yangu na biashara zangu ziliyumba sana na kufirisika kabisa. Hivyo, benki ile walichukua nyumba niliyoweka kama dhamana na kuiuza. Nimebaki sina pa kwenda na sina wa kunishika mkono.

Mtihani nilionao ni mkubwa mmno. Nilianza maisha upya na kwenda kupanga chumba cha bei nafuu huku Mbagala. Kutokana na ugumu wa maisha, mke wangu nae amenikimbia na kuniachia watoto wawili wadogo. Mmoja ana miaka 6 na mwingine ndio kwanza ana miaka miwili na nusu.

Kwa taarifa nilizozipata, mdogo wangu kwasasa maisha yake yamemwendea vizuri.

Lakini kinachoniumiza zaidi hadi nahisi kuchanganyikiwa, mdogo wangu kamchukua mke wangu anaishi nae kama mume na mke na teyari mke wangu ana ujauzito wake.

Dah!! Nikisema sana nitaishia kumkufuru Mungu, acha nisubiri ushauri wako.

Je, kuna hatua zozote za kisheria ninazoweza kuzichukua dhidi ya mdogo wangu juu ya haya yote yaliyotokea?"

MWISHO WA KUNUKUU.

@ Emmanuel Ngowi
-Mbagala Dar es Salaam

Posted By : Mr George Francis.
Email: mr.georgefrancis21@gmail.comView attachment 2392860
Huu Uzi wako ni Uongo
 
Hii ndo zile story za kutunga, eti unampa ela mara nne, alafua achukue mke wako na kumpa mimba? Hii kitu hakuna kwa wachanga labda wengine Mbula hatunaaa ujinga kama huo
 
Hizi story za kuwahadithia darasa la saba baada ya kupigia pindi la pre-form one.
 
Lakini kinachoniumiza zaidi hadi nahisi kuchanganyikiwa, mdogo wangu kamchukua mke wangu anaishi nae kama mume na mke na teyari mke wangu ana ujauzito wake.
Hii imeshindwa kupenya
Mi mwnyw sijaielewa kabisa
 
Makosa yako ni haya;
1. Ulimweka kijana aliyebalehe ndani mwako (ukamegewa mapema) bila kujua.
2. Ulikopa ili umpe pesa ndugu mpumbavu. Huu ndio ujinga mkubwa uliufanya. Wewe ulifanya ili uonekane wa maana kwa wazazi wako . Hivi mtu ashakuletea upumbavu bado unakopa kwa rehani ya nyumba yako kwaajili yake?
3. Ulioa mke mshenzi
 
Wachaga hatupo ivo wooyiii , hatupeani pesa ivo kama maandazi, unafunguliwa biashara au unapewa biashara izalishe mtoto unampa aliekupa then unaendelea nayo inakuwa yako, iyo pesa ya kwanza tu dogo angeonyesha ilipo ivi unawajuwa wachaga vita zao ,yani kaka anaduka la hadiwea basi utauza apo then unaanzishiwa yako
 
Hii ni habari ya uongo na ya kutunga.....watani zangu wachaga hawana ujinga wa namna hiyo........wangekuwa wajinga Kwa kiwango thithi wapare tungewacheka thana
 
Shindwa na ulegee..wachaga hawanaga akili za kijinga hivyo...TENA komaa wewe uliyeandika hapa...hakuna mchaga kichaa na juha namna hiyo na haraka atokeee...ungesema MTU WA kabila lingine labda ..na isije TENA ukatokea ukaandika insha yako ukatolea mfano wachaga...

Na kweli aseme makabila mengine sio sisi
 
MDAU ANAOMBA USHAURI

"Mimi ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwenye familia ya watoto wanne kwa wazazi wetu huko Moshi - Kilimanjaro.

Nilikuja mjini Dar es Salaam kwa kusaidiwa na kaka zangu wawili hasa huyu wa pili kuzaliwa.

Kwa taratibu za kule kwetu uchagani huwa tuna desturi ya kushikana mkono yaani kusaidia wengine pale unapofanikiwa.

Kaka mkubwa alikuwa wakwanza kufanikiwa nae akamleta mjini kaka yangu wapili kuzaliwa ambaye naye baada ya kufanikiwa akanileta mimi mjini.

Ni kweli katika kupambana kwangu na support niliyopewa nilifanikiwa kumuliki biashara kubwa mjini na nyumba nzuri ya kuishi. Kiufupi maisha yakawa mazuri kimtindo.

Mdogo wetu wa mwisho alipomaliza kidato cha nne kaka zangu wakaniambia nimchukue dogo aje mjini nae nimfundishe maisha kama nilivyosaidiwa mimi.

Hilo halikuwa tabu kwangu nami nilifanya hivyo na dogo akaja mjini akawa anaishi kwangu. Nikamwingiza kwenye biashara zangu kwa lengo nae apate uzoefu ili hata siku nikimfungulia biashara yake basi awe anajua kwa kuanzia.

Nikikaa nae kwangu kwa miaka miwili. Kuna siku alikuja kuniambia kuwa kwasasa amekuwa na anao uzoefu mzuri hata wa kujitegemea mweyewe akaomba nimsaidie pesa ya mtaji akaanze kufanya biashara zake nami sikuwa na hiana nikafanya hivyo.

Nilimuuliza anataka kufanya biashara gani, akaniambia anataka kufanya biashara ya kuuza nguo za kiume. Nilimwambia atafute flemu kisha nilimkabidhi milioni kumi ya kuanzia biashara na baada ya miezi minne nilimpa tena milioni tano kwahiyo jumla ikawa milioni 15.

Hivyo akaondoka nyumbani na kwenda kuanza maisha yake.
Lakini nilimwambia anipeleke nikaone dukani kwake ili nikaangalie pia na mwenendo wa biashara ananizungusha tu mala kesho keshokutwa siku zinazidi kwenda.

Baada ya miezi kama saba hivi au nane akanifuata kazini kwangu anaomba nimsaidie tena milioni tano mambo yake hayaendi vizuri. Kwakuwa najua biashara sometimes zina changamoto nilimpa kama kawaida.

Kuna mtu alikuja kuniambia ndugu yangu mbona unapoteza sana pesa kwa huyo mdogo wako bila mpangilio!! Kumbe siku zote hizo mimi nampa pesa lakini hakuna biashara yoyote anayoifanya. Yaani pesa zote anaenda kufanyia starehe na mademu wa Dar es Salaam, kila kiwanja cha starehe anakijua yeye.

Nilikuja kumwambia tena anipeleke kwenye biashara aliyodai kuwa amefungua ikawa ugomvi mzito eti anasema yeye sio mtoto mdogo hivyo tabia za kumfuatilia fuatilia nikome kabisa hasije kunifanyia kitu kibaya ambacho sitakuja kusahau maishani mwagu.

Baada ya tukio hili niliwafata kaka zetu hao wawili na kuwaambia kuwa kwasasa dogo akikwama tena kimaisha sitamsaidia kwasababu nimeshamsaidia sana lakini hasaidiki na kunitolea kauli chafu.

Hapo tuliitwa kikao hadi wazazi kutoka kwetu kijijini huko Moshi walikuja. Dogo analalamika kuwa hata kwangu nilikuwa namnyanyasa sana ila mke wangu tu eti ndio alikuwa anamuonea huruma mala mojamoja ila mimi eti nina roho mabaya sana ya choyo na chuki dhidi yake.

Dah! Niliumia sana. Nilishikwa na hasira hadi nikashindwa kuongea chochote. Kwa jinsi dogo alivyokuwa anaongea kwa sauti ya juu kaka zangu na wazazi wetu wote walimuamini na kuwa upande wake.

Basi ili kuondoa lawama ilibidi nikope pesa benki na kuweka nyumba yangu kama dhamana. Pesa ile niliyokopa nikampa tena yeye lakini kwa makubaliano kwamba tutasaidiana kulipa deni hilo nae akakubali japo kwasababu tulipeana kifamilia hatukua na maandishi yoyote.

Baada ya rejesho la kwanza dogo aliingia mitini. Nikipiga simu hapokei, kuna siku alipokea aliniambia nisimtafute tena nijue maisha yangu hata akifa nisimzike na nikifa hatokuja kunizika. Kwakweli kama kaka niliumia sana, mimi sijaona sababu ya kwanini tufikie huko.

Hivi ninavyokwambia ule mkopo nilishindwa kurejesha wote peke yangu na biashara zangu ziliyumba sana na kufirisika kabisa. Hivyo, benki ile walichukua nyumba niliyoweka kama dhamana na kuiuza. Nimebaki sina pa kwenda na sina wa kunishika mkono.

Mtihani nilionao ni mkubwa mmno. Nilianza maisha upya na kwenda kupanga chumba cha bei nafuu huku Mbagala. Kutokana na ugumu wa maisha, mke wangu nae amenikimbia na kuniachia watoto wawili wadogo. Mmoja ana miaka 6 na mwingine ndio kwanza ana miaka miwili na nusu.

Kwa taarifa nilizozipata, mdogo wangu kwasasa maisha yake yamemwendea vizuri.

Lakini kinachoniumiza zaidi hadi nahisi kuchanganyikiwa, mdogo wangu kamchukua mke wangu anaishi nae kama mume na mke na teyari mke wangu ana ujauzito wake.

Dah!! Nikisema sana nitaishia kumkufuru Mungu, acha nisubiri ushauri wako.

Je, kuna hatua zozote za kisheria ninazoweza kuzichukua dhidi ya mdogo wangu juu ya haya yote yaliyotokea?"

MWISHO WA KUNUKUU.

@ Emmanuel Ngowi
-Mbagala Dar es Salaam

Posted By : Mr George Francis.
Email: mr.georgefrancis21@gmail.comView attachment 2392860
Kama ni kweli naomba kukushauri yafuatayo:

Moja: Usivunje undugu kwa sababu ya huyu mke wako na TABIA za mdogo wako ILA TAFUTA NAMNA BORA YA KUJAMIIANA NAO.

Pili: Toa talaka kwa MKEO ili kukupa nafasi ya kuanza upya ukiwa mwenyewe.

Tatu: Watoto wako kama nyumbani kwa wazazi pako vizuri wapeleke wakae na bibi yao na umtafutie housemaid wa kuwahudumia watoto ili wewe uweze kupambana na kujipanga vizuri.

Nne: Masuala ya kesi na kushitakiana huongeza mgawanyiko kwenye familia na kuibua makundi ambayo yakuanza yanaweza kwenda generations nyingi zijazo kitu ambacho siyo kizuri.

Tano: samehe na kusonga mbele kwa ari na nguvu mpya, Mtumainie Bwana mshindi na mwenye nguvu ambaye kwake hakushindikani kitu

Naomba kuwasilisha.
 
MDAU ANAOMBA USHAURI

"Mimi ni mtoto wa tatu kuzaliwa kwenye familia ya watoto wanne kwa wazazi wetu huko Moshi - Kilimanjaro.

Nilikuja mjini Dar es Salaam kwa kusaidiwa na kaka zangu wawili hasa huyu wa pili kuzaliwa.

Kwa taratibu za kule kwetu uchagani huwa tuna desturi ya kushikana mkono yaani kusaidia wengine pale unapofanikiwa.

Kaka mkubwa alikuwa wakwanza kufanikiwa nae akamleta mjini kaka yangu wapili kuzaliwa ambaye naye baada ya kufanikiwa akanileta mimi mjini.

Ni kweli katika kupambana kwangu na support niliyopewa nilifanikiwa kumuliki biashara kubwa mjini na nyumba nzuri ya kuishi. Kiufupi maisha yakawa mazuri kimtindo.

Mdogo wetu wa mwisho alipomaliza kidato cha nne kaka zangu wakaniambia nimchukue dogo aje mjini nae nimfundishe maisha kama nilivyosaidiwa mimi.

Hilo halikuwa tabu kwangu nami nilifanya hivyo na dogo akaja mjini akawa anaishi kwangu. Nikamwingiza kwenye biashara zangu kwa lengo nae apate uzoefu ili hata siku nikimfungulia biashara yake basi awe anajua kwa kuanzia.

Nikikaa nae kwangu kwa miaka miwili. Kuna siku alikuja kuniambia kuwa kwasasa amekuwa na anao uzoefu mzuri hata wa kujitegemea mweyewe akaomba nimsaidie pesa ya mtaji akaanze kufanya biashara zake nami sikuwa na hiana nikafanya hivyo.

Nilimuuliza anataka kufanya biashara gani, akaniambia anataka kufanya biashara ya kuuza nguo za kiume. Nilimwambia atafute flemu kisha nilimkabidhi milioni kumi ya kuanzia biashara na baada ya miezi minne nilimpa tena milioni tano kwahiyo jumla ikawa milioni 15.

Hivyo akaondoka nyumbani na kwenda kuanza maisha yake.
Lakini nilimwambia anipeleke nikaone dukani kwake ili nikaangalie pia na mwenendo wa biashara ananizungusha tu mala kesho keshokutwa siku zinazidi kwenda.

Baada ya miezi kama saba hivi au nane akanifuata kazini kwangu anaomba nimsaidie tena milioni tano mambo yake hayaendi vizuri. Kwakuwa najua biashara sometimes zina changamoto nilimpa kama kawaida.

Kuna mtu alikuja kuniambia ndugu yangu mbona unapoteza sana pesa kwa huyo mdogo wako bila mpangilio!! Kumbe siku zote hizo mimi nampa pesa lakini hakuna biashara yoyote anayoifanya. Yaani pesa zote anaenda kufanyia starehe na mademu wa Dar es Salaam, kila kiwanja cha starehe anakijua yeye.

Nilikuja kumwambia tena anipeleke kwenye biashara aliyodai kuwa amefungua ikawa ugomvi mzito eti anasema yeye sio mtoto mdogo hivyo tabia za kumfuatilia fuatilia nikome kabisa hasije kunifanyia kitu kibaya ambacho sitakuja kusahau maishani mwagu.

Baada ya tukio hili niliwafata kaka zetu hao wawili na kuwaambia kuwa kwasasa dogo akikwama tena kimaisha sitamsaidia kwasababu nimeshamsaidia sana lakini hasaidiki na kunitolea kauli chafu.

Hapo tuliitwa kikao hadi wazazi kutoka kwetu kijijini huko Moshi walikuja. Dogo analalamika kuwa hata kwangu nilikuwa namnyanyasa sana ila mke wangu tu eti ndio alikuwa anamuonea huruma mala mojamoja ila mimi eti nina roho mabaya sana ya choyo na chuki dhidi yake.

Dah! Niliumia sana. Nilishikwa na hasira hadi nikashindwa kuongea chochote. Kwa jinsi dogo alivyokuwa anaongea kwa sauti ya juu kaka zangu na wazazi wetu wote walimuamini na kuwa upande wake.

Basi ili kuondoa lawama ilibidi nikope pesa benki na kuweka nyumba yangu kama dhamana. Pesa ile niliyokopa nikampa tena yeye lakini kwa makubaliano kwamba tutasaidiana kulipa deni hilo nae akakubali japo kwasababu tulipeana kifamilia hatukua na maandishi yoyote.

Baada ya rejesho la kwanza dogo aliingia mitini. Nikipiga simu hapokei, kuna siku alipokea aliniambia nisimtafute tena nijue maisha yangu hata akifa nisimzike na nikifa hatokuja kunizika. Kwakweli kama kaka niliumia sana, mimi sijaona sababu ya kwanini tufikie huko.

Hivi ninavyokwambia ule mkopo nilishindwa kurejesha wote peke yangu na biashara zangu ziliyumba sana na kufirisika kabisa. Hivyo, benki ile walichukua nyumba niliyoweka kama dhamana na kuiuza. Nimebaki sina pa kwenda na sina wa kunishika mkono.

Mtihani nilionao ni mkubwa mmno. Nilianza maisha upya na kwenda kupanga chumba cha bei nafuu huku Mbagala. Kutokana na ugumu wa maisha, mke wangu nae amenikimbia na kuniachia watoto wawili wadogo. Mmoja ana miaka 6 na mwingine ndio kwanza ana miaka miwili na nusu.

Kwa taarifa nilizozipata, mdogo wangu kwasasa maisha yake yamemwendea vizuri.

Lakini kinachoniumiza zaidi hadi nahisi kuchanganyikiwa, mdogo wangu kamchukua mke wangu anaishi nae kama mume na mke na teyari mke wangu ana ujauzito wake.

Dah!! Nikisema sana nitaishia kumkufuru Mungu, acha nisubiri ushauri wako.

Je, kuna hatua zozote za kisheria ninazoweza kuzichukua dhidi ya mdogo wangu juu ya haya yote yaliyotokea?"

MWISHO WA KUNUKUU.

@ Emmanuel Ngowi
-Mbagala Dar es Salaam

Posted By : Mr George Francis.
Email: mr.georgefrancis21@gmail.comView attachment 2392860
Eric shigongo is real
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom