Wema Sepetu mwakilishi BBA 2009?

Status
Not open for further replies.
Unajua kadiri unavopanda ngazi kwenda juu ndivyo unavyojulikana zaidi na ndivyo mema yako na mabaya yako yanavyofahamika zaidi. Yaani hili huwezi kulikwepa. Unakuwa public figure. Na kwa jinsi hiyo huwezi kukwepa maoni na mitazamo ya watu inayotolewa juu yako: mitazamo mizuri na mibaya. Cha maana ni kujijua, kubaki mwenyewe (what you are), na pale unapoona yafaa kurekebisha unarekebisha.

Yanayompata Wema ni jambo la kawaida katika maisha. yeye ni miss Tz 2006, ni public figure. Huwezi kuzuia watu kumjadili: kwa karama zake njema, na hata kwa mapungufu yake. Kwa yale ambayo ni negative ni juu yake kukaa na kutafakari "je ni kweli"? Kama ni kweli ayafanyie kazi. Ana bahati sana kuzungumzwa hivi wazi maana itamsaidia kujirudi kwa kufahamu udhaifu wake kama alikuwa haufahamu.

Kama yanayosemwa si kweli au yameongezwa chumvi, basi ni juu yake kuchambua mchele na pumba. Mchele aufanyie kazi, pumba aachane nayo. It is so simple. Hana sababu ya kukata tamaa kwa maneno ya watu. Na siamini kama kuna mtu mwenye nia mbaya ya kutaka kumchafua. Ila watu wanakuwa na wasiwasi naye kutokana na yale wanayoyafahamu. Kumbe hayo yawe kichocheo kwake kujiweka sawa zaidi. Tunahitaji balozi huko BBA si mchezo. Kufanya mambo ya ajabu kunaweza kuwa aibu si kwake tu bali kwa taifa zima.
 
Wema is real, Big up kam ndiye anayetuwakilisha kweli', afadhali kanumba Celebrities wameondoka, Kanumba angesababisha niache kuangalia TV, aibu gani jamani.
 
hivi Agika! unafikiri kumuhukumu huyo mtoto wa watu au kumuanika mambo yake kwa watu ndio kumsaidia? fikiria kama angekuwa mwanao au mtoto wako,ungemuhukumu kwa jinsi hiyo? kama una nia ya kumsahihisha kwa jinsi hiyo,unadhani hiyo ndio njia muafaka?.Jaribu kufikiria kuwa huyo ni binadamu na huwezi jua chanzo cha hayo matatizo yanayomfanya awe hivyo alivyo.Na inawezekana hizo hukumu anazoendelea kuzipata ndio zinazidi kumkatisha tamaa na kuharibikiwa zaidi.Tusikimbilie kuhukumu kila kitu,tuwe watu wa kusaidia jamii kwa njia mbadala zaidi ya matangazo kama hayo ya kejeli na tutapata thawabu.
Nadhani hujanisoma vizuri nimekwambia mimi binafsi simhukumu lakini msizuie wanaomhukumu wamhukumu kwasababu wanayo sababu , kukujibu swali lako angekuwa mtoto wangu kama ningemhukumu kihivyo, jibu kwanza sijamhukumu pili mama yake wema hawezi kuhukumu makosa yake kama mama kwasababu mwisho wa siku mafanikio na hasara za mtoto wazazi hawawezi kuzikwepa kwasababu iwe hujachangia au umechangia kwenye makuzi ya mtoto, mzigo wa lawama utakushukia kama mzazi.so ningekuwa mzazi wake nisingekuwa na hata fursa ya kuhukumu maana mimi ni mchangizi katika kufeli kwake. na siku zote wanaohukumu ni walimwengu maana mtoto akinyea kiganja cha mama yake , mama hawezi kata mkono atakisafisha na maisha yaendelee.
Si mimi wala wewe tunayeweza kumsahihisha Wema ila ni ile jamii iliyomzunguka na yeye pia anatakiwa ajitambue, yeye nani na anawakilisha nini na pia ana majukumu gani.
la mwisho sidhani mashindano ya Miss Tanzania wanaingia watoto, so ni mtu mzima anayejua nini baya nini zuri.
 
kwanza mshkaji hebu yeyote mwenye contacts za huyu kigoli anipe nitatoa hata $2000 just for her numbers namtaka kishenzi mwanangu
.Dola elfu 2000 nyingi we changia dola 500 JF nikipata uthibitisho ntakupa namba zake 2 tofauti.
 
Kazi ipo huko BBA Africa kama hizi habari ni za kweli basi Watanzania tutaenda kutia aibu kubwa sna
 
mbona mnamchambua sana mrembo wa watu jamani, awe hivi vile ni maisha yake,na nyie mna mangapi muyafanyayo, mbona mwajiona wema sana?

Hebu waambie Nyamayao,bila ya wasichana kama Wema sisi mabachela tutaponea wapi?
 
23667three.jpg
 
wapenda ngono humu wengi tu, mshaanzqa kuwatamani mabinti wa watu na mna wake zenu nyumbani, du!
 
I think she is the right person because she is the kind of people who are of the caliber to be in the bb4...she is funny and interesting young lady...apart from being beautiful!! She is the girl most people (tanzanians)will want to c what she is going to do.....sina uhakika sana kuhusu kupenda mambo ya ngono..then lets wait n see what tomorrow is going to bring...always never judge the book from the cover!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom