Kweli nakuambia sa hv vile vitimu vyake vimebaki mbao za matangazo ya biashara!kukuza uume na kuongeza makalio
Ni malkia ndiono way. amekua queen of social media lini? kapokelewa na watu hawafiki 10 ndio malkia.
Basi atakuwa ana akili sana, kwanini ung'aninie sehemu ambayo umechuja!Rwanda nao wanapenda makombo huku kwetu hana kick
Tatizo anawatukanaga fans wake, itakuwa wamemchokaKweli nakuambia sa hv vile vitimu vyake vimebaki mbao za matangazo ya biashara!kukuza uume na kuongeza makalio
Dada naomba nipigie cross pandeHongera mrembo wetu
Kaka kule kijijini mbona kuna warembo wazuri tuDada naomba nipigie cross pande
Unamaanisha kule Prof Jay alienda, akarudi na ZUBEDA?Kaka kule kijijini mbona kuna warembo wazuri tu
Hawezi kuchagua CCM huyu. Chama alichojiunga siku hizi kinampa ulinzi 24/7 kule CCM hakuupata ulinzi hata tone. Nadhani wanamlinda hata huko Rwanda.Na bado achague kuwa ccm au akafie jela,,mwaka huu mgumu sana
Nimeiona. Au macho yako yanaona nne nne?
Penda Tutsi wewe kumbeeeeIla mimi hao wa pembeni yake nimewaelewa zaidi.
Hasa wa upande wa kushoto.
Penda Tutsi wewe kumbeeee
Lazima atinge CCMNa bado achague kuwa ccm au akafie jela,,mwaka huu mgumu sana