nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
Vipi...unasikiliza? Wema anaongea sasa hivi....anaongelea jinsi anavyoandikwa kwenye magazeti.
Mimi hapa nasikiliza reggae ila ngoja nitune ni msikilize huyu kicheche
Vipi...unasikiliza? Wema anaongea sasa hivi....anaongelea jinsi anavyoandikwa kwenye magazeti.
Diam0nd nae hakujua ishu za wEmA?
Diamond naye yuko hewani
Diamond naye yuko hewani
'nimeanza kuwa star since 2006,siwez kutafuta jina kwa Diam0nd aloanza kuwa maarufu juzi 2010'-WEMA
Hawa wote akili zao hazijakua wanalumbana kwenye radio utadhani waimba taarabu
Yaani Diamond alipomdiss Live Wema amekasirika duuu...
Anajifanya hamtaki lakini anamtaka.Haka kabinti hakana common sense. Kamuache tu kijana wa watu. Kwanza sielewi hata kwa nini kaliamua kwenda stejini kumtunza jamaa na Diamond alikuwa damned either way! Angezipokea ingekuwa habari na uamuzi wake wa kutokuzipokea imekuwa habari. She needs to grow up and let him be.
nimemsikia Wema....hiyo slang sasa....mweee....
Kweli kabisa.The girl is just a glutton for drama. No class, no grace, no brains. Pitiful.
Anajifanya hamtaki lakini anamtaka.