BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
Miye nampenda Kibonde!!....
mh waone madaktari wakupe cv yake
Miye nampenda Kibonde!!....
Nipo kambi ya fisi pitia ukitoka kwa kazi tupange ratiba....Nakupendea hapo tu, huniachi nduguyo kwenye neema! Am sure itauza sana..
Nikukute wapi na lini nianze mazoezi ya sauti?
Naona hakuna labda tung'atishe nyuki ivimbe vimbeHahahaha! Hivi hakuna mchina wa mguu?
Hehehe! Eti kambi ya fisi lol.Nipo kambi ya fisi pitia ukitoka kwa kazi tupange ratiba....
Achana na Wema mwenzio anatengezea movie hayo maskendo yake na mzee wa mbagara....
Seriously mara nyengine nahisi huyu binti hamnazo.
Hawa wachina wanatuangusha sasa, tutabebaje mabegi wakati usafiri hatuna?Naona hakuna labda tung'atishe nyuki ivimbe vimbe
Heheheee huoni wema vile anakuwa unpropotionalHawa wachina wanatuangusha sasa, tutabebaje mabegi wakati usafiri hatuna?
Hahaha!..unanivunja mbavu mwenzio!..lol.Heheheee huoni wema vile anakuwa unpropotional
Eeh au hupajui kambi ya fisi SL?
Kila m2 anamponda Wema kwa sababu wote 2namfahamu na 2namuona kwnye front pages za magazeti ya udaku but am sure kuna wengine wana scandal mitaani kwao zaid hata ya Wema its just bcoz they are not stars!!2sipende kujudge wa2 jamani tena kwa habari za kusikia au kusoma kwenye magazeti ya "udaku" those people ni wa taalamu wa kuongeza "chumvi" kwnye habari za wa2
Kona ya nairobi kabla hujafika tekniko pande ya kushoto...lolHahaha!..unanivunja mbavu mwenzio!..lol.
Kambi ya fisi si kule ukipita ngarenaro kwa warangi au?
Yeye mwenyewe Wema ndiyo anayaendeleza kwa kwenda huko kwenye vyombo vya habari na kuweka hayo mambo yake hadharani. Sasa udaku uko wapi hapo?
Kila m2 anamponda Wema kwa sababu wote 2namfahamu na 2namuona kwnye front pages za magazeti ya udaku but am sure kuna wengine wana scandal mitaani kwao zaid hata ya Wema its just bcoz they are not stars!!2sipende kujudge wa2 jamani tena kwa habari za kusikia au kusoma kwenye magazeti ya "udaku" those people ni wa taalamu wa kuongeza "chumvi" kwnye habari za wa2
Hehehe! Nshapajua.Kona ya nairobi kabla hujafika tekniko pande ya kushoto...lol
Hivi Wema kafanya na mchina mawowowo yake?
Who are you?Kila m2 anamponda Wema kwa sababu wote 2namfahamu na 2namuona kwnye front pages za magazeti ya udaku but am sure kuna wengine wana scandal mitaani kwao zaid hata ya Wema its just bcoz they are not stars!!2sipende kujudge wa2 jamani tena kwa habari za kusikia au kusoma kwenye magazeti ya "udaku" those people ni wa taalamu wa kuongeza "chumvi" kwnye habari za wa2
kwa hiyo akiitwa kwenye interview asiende?c wataanza kusema anaringa?hiyo ndo price ya kua star ila wa2 2naexagerate mambo!
Ww ni mama yake mdogo Wema nn???? Kuna masupa staa(kama mnavyowaita)wangapi mpaka kila siku story iwe ya Wema tuuuu?! She really likes those kind of drama na ndio maana haiishi kuwa midomoni mwa watu.
kwa hiyo akiitwa kwenye interview asiende?c wataanza kusema anaringa?hiyo ndo price ya kua star ila wa2 2naexagerate mambo!
aisee huyu mwanadafada ataolewaga kweli?