Wema ni hakiba

Wema ni hakiba

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,898
Reaction score
828,502
Miaka mingi iliyopita, huyu mzee alifanya maamuzi ya kiume kinoma. Alimchukua binti mdogo aliyekuwa anahitaji hifadhi na kumpokea kama mwanaye wa kumzaa. Kipindi hicho binti akiwa mdogo, mzee alikuwa anambeba mgongoni na mikononi.

Alimbeba kwenda kwa madaktari wakati anaumwa
Alimbeba asubuhi kuelekea shule.

Muda umepita, na sasa mambo yamegeuka kifyoto. Yule binti sasa ni mwanamke shupavu, na mzee sasa amekuwa mzee, hatua zake zimekuwa nzito na mwili umechoka. Lakini mwanangu, hapa ndipo utajua kuwa wema hauozi mtaani.

Sasa hivi, ni zamu ya binti kumbeba baba yake.
Inatuchana kuwa jinsi unavyowatunza watu leo wakati wana nguvu ndogo, ndivyo watakavyokutunza kesho wakati wewe utakapokuwa huna nguvu.
1771957510721.jpg
 
Wazungu sio wa kuwaamini 😹
This image tells a touching "full circle" story of adoption and caregiving.
The Story
Past: The man, identified as Daniel, adopted the young girl when she was two years old. He raised her as his own daughter, providing her with stability, guidance, and unconditional love.
Present: Many years later, as Daniel has aged and can no longer walk well, his adopted daughter now cares for him. The second photo shows her carrying him in a specialized backpack carrier, mirroring how he once carried her when she was a child.
This viral image is often shared as a testament to the lasting bond between adoptive parents and their children.
1771957510721.jpg
 
mimi nafanya ofisi flan ya serikali ni mkaki wa baadhi ya mambo, hivyo wafanyakazi wenzangu wakiwa na shida eneo la hicho kipengele huniomba mimi bila malipo na natumia muda wangu ...je na huu ni wema au ujinga? Mshana Jr
 
mimi nafanya ofisi flan ya serikali ni mkaki wa baadhi ya mambo, hivyo wafanyakazi wenzangu wakiwa na shida eneo la hicho kipengele huniomba mimi bila malipo na natumia muda wangu ...je na huu ni wema au ujinga? Mshana Jr
Huo ni wema. Lakini ni ule wema 'kumanyoko'... Au ni wema unaotengeneza akiba itakayooza. Huruma sio malezi. Mkistaafu hakuna atayekuhurumia.
 
Yes Duniani tunatakiwa kuwa wema na kuwashika mkono wahitaji.Binafsi nikiwa sawa nitawashika mkono vijana wa chuo wanaokwamba ada.

Ujumbe mzuri Ila hiyo picha tumepigwa ni picha mbili zenye watu tofauti.

Hiyo video pia hapo kwenye mwaka 2020 napo tumepigwa.
 
mimi nafanya ofisi flan ya serikali ni mkaki wa baadhi ya mambo, hivyo wafanyakazi wenzangu wakiwa na shida eneo la hicho kipengele huniomba mimi bila malipo na natumia muda wangu ...je na huu ni wema au ujinga? Mshana Jr
Kama unatumia muda wako wewe ni fala...
Time ni mali na ukienda haurudi tunza sana muda wako.
 
mimi nafanya ofisi flan ya serikali ni mkaki wa baadhi ya mambo, hivyo wafanyakazi wenzangu wakiwa na shida eneo la hicho kipengele huniomba mimi bila malipo na natumia muda wangu ...je na huu ni wema au ujinga? Mshana Jr
Wema ni hakiba! Unajua ni kwa kutoa ndio tunapokea.. Daima usiache kutenda wema wala kusaidia unapoweza.. Wema ni ibada na kusaidia ni wito na kipawa! Usiache kusaidia lakini kwa usahihi na panapostahili
 
Katika haya maisha usiwe na kiburi wala maringo,ishi na watu vizuri maana huwezi jua atakaye kufaa kesho.No man is an island no man stands alone.
Kuna watu ni wema na walijali kila mtu walipokuwa na kitu. Ila waliposhuka, walitelekezwa na familia pamoja na ukoo mzima

Na wengine, walikuwa na mali ila walipofariki, ndugu waliowasaidia wakawa wa kwanza kufukuza wake na watoto wao. Na wakauza kila kitu

Kiufupi, Kila mtu ana mwisho wake na kutenda wema hamaanishi ikifika zamu yako nawe utatendewa. Fanya wema kwa sababu unaamini ni kitu kizuri kufanya ili ikifika dissapointment, iwe rahisi kwako kuibeba
 
Huo ni wema. Lakini ni ule wema 'kumanyoko'... Au ni wema unaotengeneza akiba itakayooza. Huruma sio malezi. Mkistaafu hakuna atayekuhurumia.
Ulimwengu wa roho una macho na unaona.. Kamwe hutapungumiwa ukitenda kwa usahihi, kwa moyo mnyoofu na bila hila wala kujikweza
 
Back
Top Bottom