BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Angalau mtzTeh teh..Mpendwa wema kuzila ni sahihi?
Angalau mtzTeh teh..Mpendwa wema kuzila ni sahihi?
Haya bana..Ila nasikia imebaki $ 30,000Angalau mtz
Hii miguu mbona kama imeoza?
Acha utaniHaya bana..Ila nasikia imebaki $ 30,000
Timu Ubaya wamechachamaa, kusikia Ubaya anaambiwa yupo kama Chakubanga.Hahaha akikata kona linaanza sikio
Mie simo ujue...
Mimi ni mjumbe tu jamani,sina mapesa ya kumlipa yule muhaya.zamaradi yuko na umeme ati???..
duuh kwaiyo >》ruge>}}}t.h.t
Zamaradi si ndo kaxaa na ruge au,warumi karibu ukoment tuu post za nifah maana amna namna
No comment!Ni Hatareee,Wema na Zari wote wazuri jamani,sema tu kila mtu hapo Ana extra kumzidi mwenzake,wema kwa shape na mideko yupo juu,zari mapozi yake ni shida.
✔Hilo swala la Amirijeshi ni shigda,Hizo nyaya Maza-thunderstorm kakanyaga kwa GerU maana pamoja na pesa alizokuwa nazo Yahaya hana nuru amechakaa utafikiri anakula cement.
Whaaaaat?Karibia tutaanza kuona sinema mjini hapa.Haya bana..Ila nasikia imebaki $ 30,000
Cc SON OF THE LANDHizo miguu veeeeeeeeeeeeeeeeepe!
Loooo! Miguu yangu mizuri wema hanipati hata kwa ngazi! Mbona limekugusa au na wewe una toothpicks kama dada yako bibi bomba?Mwacheni Wema na miguu yake hajajiumba hapo ulipo una kasoro zako pia
Kama siyo miguu na wewe una kasoro nyingine siyo lazima iwe miguu. Haijaniuma ila inauma mnavyojua kukosoa uumbaji wa Mungu hajajiumba kaumbwaLoooo! Miguu yangu mizuri wema hanipati hata kwa ngazi! Mbona limekugusa au na wewe una toothpicks kama dada yako bibi bomba?
Kama miwa ya nyongeza tehHuto tu miguu daah
yesu tikiiiiiiiiiNgoja na mimi nikoleze chumvi....
Zari akiwa naturally kabla ya filters
Hahahahaaa uwiiiii hii picha ilinichekesha sana aisee.
HeheheKama miwa ya nyongeza teh