Jeruh
Member
- Aug 8, 2011
- 77
- 6
Sipati picha nyeti zake wema zikoje kwa sasa,
duuh!?
Sipati picha nyeti zake wema zikoje kwa sasa,
Kweli kabisa ndio michongo yao, hivyo hivyo uwoya alijependekaza kwangu....ooh imepanda ...imeshuka..mi sikuwa na ajizi nikamchapa!Huyu Wema mi mwenyewe kuna siku nusu nimpitie sema nikaona nimpotezee tu. Nakumbuka ilikuwa Leaders J'mosi, basi nikaja kuangalia wasanii wanvyorukaruka kidali poo. Nikawa nimekaa meza ya pembeni kidogo huku napiga ze Ndovu zangu baridiii. Ghafla meza yangu ikavamiwa na Wema na Irene Uwoya eti wanaomba kinywaji. Mi bila hiyana nikawaambia waagize. Walivyoanza kulewa eti wakawa wanataka niwape lift mara oooh tununulie nyama mara oooh tunaomba vocha. Mi nikasema jamani isiwe tabu, nikawaacha wameduwaa wasielewe la kufanya. Mi huyooooo
Baada ya TID,Mr. Blue,Kanumba,Jumbe,Chaz Baba na hatimaye Diamond tusubiri tuone sasa ni zamu ya nani kumchukua Wema
wimbi la kitintale
Habari ni kuwa mama yake diamond ndio ilikuwa chanzo ya diamond na wema waachane but mama yake diamond huyo huyo ndio sababu kubwa ya wao kurudiana coz mama yake diamond kawaita wasuluhishane na kawasuluhisha na kwa sasa wema na diamond wamerudiana huyu mwanamke mama yake diamond inaelekea ana vijimatatizo fulani katika kichwa chake sio bure
wema sijui kwanini imekuwa hivi ? Uchumba gani huu mwanamme kila kitu 'naenda kumuuliza mama' .wema akubali tu hapa hamna uchumba wala ndoa kila siku mama atapuliza na kuuma.