Hawakujuwana vyema.Mapenzi yao maybe yalikuwa more of a "show off" Kila siku kwenye ndeia na magazeti ya udaku.Kama alivalishwa pete,basi angejuwa how to act and behave based on how he knows the guy.Kama najuwa kuwa ni mtu anayeweza kuchukua ushauri wa mama na kwamba mama hampendi.Hayo yote yalikuwa bure tu.Ama lbda these guys ni njia yao ya kuwepo kwenye mawazo ya mashabiki wao.To me its just another mambo jambo.