Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
sipendi wazazi wanaoingilia mahusiano ya watoto wao.....yani siwezi hata kuelezea, sasa anamchukia binti wa watu kwa kosa gani? kama ni kuwa na wanaume wengi kabla yeye anajua diamond alikuwa na wangapi kabla ya wema? mama aache watoto wapendane bwana. ukiona mama ana tabia hizi za kuingilia mahusiano ya mwanae wa kiume na kuleta chuki binafsi kwa mkwewe basi ujue ameachika au ni mjane.....