Usifanye mchezo na USD 40,000 wewe ngoja nikutajie kwa madafu yetu ni millioni 64 Tsh ushanipata hapo,haya twende ni kweli huyo dada kafanya shopping hiyo? Mil64 angekua nazo angepangishia,si angejenga nyumba? Funguka hizo ni Promo tu na kumuumiza diamond!
ukizoea kutajwa katika media ikifika mda hutajwi unapanic na kujipa kashfa au jambo lolote!!!hizi ndo mbinu wema na washkaji zake wanazitumia na kwakuwa kuna blogs nyingi basi mengi mtasikia!nakubali wema dubai alienda na pesa ya kutosha lakini si ya kufanya shopping ya $40,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.