Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
shopping hatimaye imemuumbua,kumbe pedeshee(mume wa mtu) ndo kamchomolea huo mpunga kwny account yake.Hatimaye mke wa pedeshee kamcharukia wema
Dah hlo jimbuz alilopata linamwaga hela source sintah blog
kweli wema fungu la kukosa....
$40,000 angejenga kibanda kimgemsaidia kukiko kupewa gari ya 'familia' sasa kimemnukia
YAah kwa pesa hiyo angeporomosha kitu cha kufanana na cha dada Mwami. (Shikamoo Mwamvita)