Well done wakili mbobevu Nassoro Katuga

Gentleman,
pamoja na hisia zako huru nje ya hoja mahususi mezana,
bilashaka tunakubaliana kwamba wakili Nassoro Katuga ni darasa la kipekee sana kwa mawakili vijana nchini right?

Kesi za nje tunafeli, hapa si kuna backup so lazima awe vizuri
 
Kesi za nje tunafeli, hapa si kuna backup so lazima awe vizuri
in fact,
he is still very young advocate,
and of course he has more to learn in laws industry 🐒
 
hii cross exam ni hatari hadi nimeanza kumuonea huruma
 
Ni sahihi yule Wakili amekwiva, mashahidi wa Lissu wanakinzana kwenye ushahidi kila anapo wapiga maswali. Wao wanataka sifa za za wanaharakati yeye anaweka hoja za kisheria
 
Ni sahihi yule Wakili amekwiva, mashahidi wa Lissu wanakinzana kwenye ushahidi kila anapo wapiga maswali. Wao wanataka sifa za za wanaharakati yeye anaweka hoja za kisheria
kiukweli mashahidi wa Lisu ni kama vile wamemkaanga na kumsagia kunguni mwenyekiti wao tu.

wakili Katuga amewageuza na kuwagalagaza kadiri alivyotaka na kuchukua kiulaini alichokusudia kuachive kwa mujibu wa sheria 🐒
 
Unafanya kazi nzuri sana Baba ya kizalendo,
na umesimama imara sana kwenye nafasi yako kama wakili mbobevu na mahiri Tanzania. The country is proud of you Mr.Katuga.🐒


Mungu Ibariki Tanzania
Nilipofuatilia mawakili wa Serikali wanavyohoji mashahidi kwenye kesi ya Lissu,nimesikitika sana.Kwamba kumbe inawezekana ni kwa sababu huwa wanawashtaki vibaka ambao hawajui kujitetea ndiyo maana wamejisahau.
 
Nilipofuatilia mawakili wa Serikali wanavyohoji mashahidi kwenye kesi ya Lissu,nimesikitika sana.Kwamba kumbe inawezekana ni kwa sababu huwa wanawashtaki vibaka ambao hawajui kujitetea ndiyo maana wamejisahau.
siasa kwenye sheria ni kujitia kitanzi kirahisi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…