jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,602
- 3,781
Majadiliano yanaendelea
Tumpe nchi padre slaa waziri mkuu dj mbowe sugu na akina lema wawe mawaziri pamoja na Tundu Lisu ivi ndugu unafikiria nini labda.
Huyu ndio walewale wa uchagani shida yao ni kushika dola tu iwe kwa chadema kupitia slaa au ccm kupitia lowasa ni unafiq tu umewajaa na kujifanya wsnaupendo kwa tz angalua makabila yao yanavyotunyanyasa sisi wengine vipi wakipewa nchi hawa? Wanamshabikia lowasa alafu wanatuambia act ni ya lowasa na wanamchukia zzk ili ni janga.
Majadiliano yanaendelea
Msalani au MUSSA ALLAN ?
msalani kwangu ndio hapo
.....mkuu upo
Ha ha ha daah,huo mlango unafungwaje?,hapo ukiwa ndani ukimsikia mtu anakuja unakohoa kidogo..