Wekeza laki tatu irudi laki nne kwa wiki tatu

baba N

Member
Aug 6, 2014
94
72
tutakutana eneo la fursa,ntakupa mchanganuo wa awali.baada ya ela yako kurudi.kama utapenda tufanye pamoja kama parners tutafanyaja pamoja.eneo ni pwani.mradi wa huakika.kwa maelezo zaidi karibu pm.pia tutawekeana conditions ili kuwepo na hali ya kuaminiana.
ipo hivi.ninalo eneo eka nne na kiasi cha kuanzia kidogo.ni mradi wa nyanya ukiwa na eka moja pamoja na gharama zote kuzitoa za vibarua kupalilia na dawa.unauwezo faida milioni 6 kwa mienzi mitatu .ukipiga hesabu kwa eka nne inakuja milion24..tayari nina eneo na kiasi kidogo cha kuanzia naitaji mdau ambaye atakua tayari tuyajenge pamoja.
 
maelezo ni mengi mchanuo huu awali kwa mchanuo wa pili ntaweka apa.inabidi niende nae taratibu ambaye yupo interested .karibu mkuu tusukume gurudumu la maendeleo
 
utapeli hakuna ndo maana nimeandika tutawekeana masharti .apo kwenye masharti inaweza kua kuwekeana bondi .nyumba.kadi ya gari.shamba.n.k
 
tutakutana eneo la fursa,ntakupa mchanganuo wa awali.baada ya ela yako kurudi.kama utapenda tufanye pamoja kama parners tutafanyaja pamoja.eneo ni pwani.mradi wa huakika.kwa maelezo zaidi karibu pm.pia tutawekeana conditions ili kuwepo na hali ya kuaminiana
eti ninii khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
wenye nia wanakuja pm tayari nawashushia nondo.vijana tunalalamika ajira hakuna fursa zipo nyingi inapotekea mtu unatafuta wakuungana nao mfanye kitu kuaachana na kuhangaika na bahasha watu wanahisi vibaya.na inatokana kuwepo na wimbi kubwa la utapeli.bado tunayo safari ndefu sana
 
eti ninii khaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
karibu frola uache kua tegemezi kwa Mr .inaweza pia kama una muda gharama zote unakua unashughulikia wewe .mfano ela hii ya mafundi basi unawapa wewe kwa kazi waliofanya .mbona rahisi
 
karibu frola uache kua tegemezi kwa Mr .inaweza pia kama una muda gharama zote unakua unashughulikia wewe .mfano ela hii ya mafundi basi unawapa wewe kwa kazi waliofanya .mbona rahisi
sina mr
sijawahi kutegemea mtu tangu nimefika 18 yrs
na sitegenei kijana siombagi hela ya mwanaume hata km ni vocha ya 500
siwezi we niambie ni biashara gani nijue kama naweza kujiunga tena uiseme hapa hadharani maana kuna mtu kalizwa 120k humuhumu jf hizi beshara za kwenye giza zinazingua
 
andika kila kitu hapa tuchukue copy ya bandiko lako.. pm itakuwa kama vile makubaliano ya siri.... hapa ndiyo muhimu uoni kama pm utakuwa na kazi ya kumuelezea kila mmoja.. au kila mmoja anapata maelezo kutokana na alivyokuja pm?
 
andika kila kitu hapa tuchukue copy ya bandiko lako.. pm itakuwa kama vile makubaliano ya siri.... hapa ndiyo muhimu uoni kama pm utakuwa na kazi ya kumuelezea kila mmoja.. au kila mmoja anapata maelezo kutokana na alivyokuja pm?
okey miss chaga ngoja niedit nieke maelez o yote.asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom