Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,131
- 9,680
Taifa stars ana mchezo mgumu dhidi ya Morocco kuelekea kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2026 pale Marekani.
Ni mechi ya ugenini ambayo itapigwa saa 6:30 usiku.
Tabiri utabiri wako tuone nani atakuwa sahihi
Ni mechi ya ugenini ambayo itapigwa saa 6:30 usiku.
Tabiri utabiri wako tuone nani atakuwa sahihi