Weka ubashiri wako hapa; Morocco Vs Taifa Stars

Weka ubashiri wako hapa; Morocco Vs Taifa Stars

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,131
Reaction score
9,680
Taifa stars ana mchezo mgumu dhidi ya Morocco kuelekea kufuzu kwa Fainali za Kombe la Dunia za Mwaka 2026 pale Marekani.

Ni mechi ya ugenini ambayo itapigwa saa 6:30 usiku.

Tabiri utabiri wako tuone nani atakuwa sahihi
 
Kwanza nimesikia yule beki wao kitasa Achraf Hakimi hatakuwepo kwenye mechi mojawapo dhidi yetu ana kadi za njano, tukishindwa kuitumia hiyo kama fursa walau hata ya kupata draw ya magoli, basi tusitegemee draw ya aina yoyote ile achilia mbali ushindi dhidi yao popote pale tutakapocheza nao
 
Kwanza nimesikia yule beki wao kitasa Achraf Hakimi hatakuwepo kwenye mechi mojawapo dhidi yetu ana kadi za njano, tukishindwa kuitumia hiyo kama fursa walau hata ya kupata draw ya magoli, basi tusitegemee draw ya aina yoyote ile achilia mbali ushindi dhidi yao popote pale tutakapocheza nao
Malaria itakuwa imekupanda kichwani
 
Back
Top Bottom