Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 26,534
- 61,964
Sio kesi nafasi yake atacheza Mazroui kutokea Man UtdKwanza nimesikia yule beki wao kitasa Achraf Hakimi hatakuwepo kwenye mechi mojawapo dhidi yetu ana kadi za njano, tukishindwa kuitumia hiyo kama fursa walau hata ya kupata draw ya magoli, basi tusitegemee draw ya aina yoyote ile achilia mbali ushindi dhidi yao popote pale tutakapocheza nao