K Kifulambute JF-Expert Member May 8, 2011 2,539 755 May 29, 2012 #2 uzinduzi wa baiskeli ya kubebea wajawazito
zumbemkuu JF-Expert Member Sep 11, 2010 10,832 8,623 May 29, 2012 #4 hii nayo ni dhihaka, teh teh! le mutuz babako anatufanyia dhihaka wa tz.
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 May 29, 2012 #5 Ukivuka stage ni lazma utairudia tuu.
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,678 68,650 May 29, 2012 #6 Kamchina kangu hakaioni hyo picha jamani.
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 May 29, 2012 #7 hizi baiskeli ndio wamezipeleka huko milimani same kubebea wajawazito?
zumbemkuu JF-Expert Member Sep 11, 2010 10,832 8,623 May 29, 2012 #8 Saint Ivuga said: hizi baiskeli ndio wamezipeleka huko milimani same kubebea wajawazito? Click to expand... mamba miamba na chome, hahahahahahahahaahah
Saint Ivuga said: hizi baiskeli ndio wamezipeleka huko milimani same kubebea wajawazito? Click to expand... mamba miamba na chome, hahahahahahahahaahah
M MAMENGAZI JF-Expert Member Dec 31, 2010 780 128 May 29, 2012 #9 commited said: Click to expand... baba nanihii ongeza speed, si unajua kura zangu zinategemea hii show!!!!!
commited said: Click to expand... baba nanihii ongeza speed, si unajua kura zangu zinategemea hii show!!!!!
M mtume pauli Member Mar 8, 2012 44 6 May 29, 2012 #11 wakati wazalendo wakihangaika kuwakomboa watanzania (m4c) magamba yameishiwa sera yamebaki kucheza gombolela.
wakati wazalendo wakihangaika kuwakomboa watanzania (m4c) magamba yameishiwa sera yamebaki kucheza gombolela.
S SURUMA JF-Expert Member Mar 22, 2011 2,892 1,064 May 29, 2012 #12 Hata walemavu tunawasaidia kwa kuzidi kuharibu mazingira.....tunakata miti kupata mbao za kutengenezea baiskeli zao
Hata walemavu tunawasaidia kwa kuzidi kuharibu mazingira.....tunakata miti kupata mbao za kutengenezea baiskeli zao
hashycool JF-Expert Member Oct 2, 2010 6,555 2,829 May 29, 2012 #13 mama nanilii dandia basi au mpaka isimame?
measkron JF-Expert Member Apr 11, 2011 3,782 2,406 May 29, 2012 #14 hashycool said: mama nanilii dandia basi au mpaka isimame? Click to expand... Duh!!!!
NYENJENKURU JF-Expert Member Feb 11, 2011 1,063 288 May 29, 2012 #15 hashycool said: mama nanilii dandia basi au mpaka isimame? Click to expand... Eheeeee?? isimame.. tena ...JF kuna mabo kweli kweli,duuuuuuuuuuuuuh
hashycool said: mama nanilii dandia basi au mpaka isimame? Click to expand... Eheeeee?? isimame.. tena ...JF kuna mabo kweli kweli,duuuuuuuuuuuuuh
N NGOWILE JF-Expert Member Sep 8, 2011 454 258 May 29, 2012 #16 onyesha unaniweza japo..................................