Ngoja aje atakupa jibu si huwa anakaa hiyo seatAlikua anamaanisha joseverest?
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Hii mada imeshajadiliwa kitambo Diamond anaposema "bana choo" na "paka mate iteleze" unaelewa nini?Wadau kichwa kinaniuma kwa kufikiria,
Hivi hako ka mstari kwenye heading kaka yetu Dayamond alikua anamaanisha nini?
Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
Aise kumbeHii mada imeshajadiliwa kitambo Diamond anaposema "bana choo" na "paka mate iteleze" unaelewa nini?
Kumbe ina maana ya uzinzi, so sadKizazi kichafu na cha zinaa, kimejaa misemo michafu yenye kuashiria uzinzi na uasherati, watu waliojaa macho ya uzinzi na matamanio, jamii iliyopotoka na kuwa watumwa wa ngono!
Watu wa Sodoma na Gomora kama wangefufuliwa leo hii, hakika wangetuonea wivu kwa jinsi ya matendo yetu ya ngono yamewazidi wao.
MUNGU BABA utuhurumie na kutusamehe sisi tuliopotoka.
Ndio hivyoAise kumbe
Harmonize alikuwa anasema wabamijooHiyo bana choo mbona sijawahi kuiskia?
Inasikitisha sana tena sana, wewe fikiri kwa makini ni kitu gani kikipakwa mate kinateleza kama nyoka pangoni?..... Hii ndiyo aina ya misemo vijana wetu na watu wazima waliopotoka wanapenda kuisikia, wakisikia basi wanatabasamu, wanafurahi, wanacheka mioyo yao iliyojaa uzinzi inasuuzika, na kufarijika; na ndiyo maana wanamuziki wazinzi kama Diamond wanaitumia sana hii misemo kwenye nyimbo zao sababu wanajua ni nini hii jamii iliyopinda inataka.Kumbe ina maana ya uzinzi, so sad
Binafsi siwalaumu maana nyimbo kama hizi ndio zinapewa kipaumbele na serikali yetu ya Tanzania, Vinginevo unafungiwa.Kizazi kichafu na cha zinaa, kimejaa misemo michafu yenye kuashiria uzinzi na uasherati, watu waliojaa macho ya uzinzi na matamanio, jamii iliyopotoka na kuwa watumwa wa ngono!
Watu wa Sodoma na Gomora kama wangefufuliwa leo hii, hakika wangetuonea wivu kwa jinsi ya matendo yetu ya ngono yamewazidi wao.
MUNGU BABA utuhurumie na kutusamehe sisi tuliopotoka.
Sio BASATA tu hata BAKITA hutawasikia, sijui kazi yao ni nini?Halafu BASATA wapo wametulia shaka hawana!