Mpe salaam zangu mzigua atanifikishia unachotaka kuhusu mm
Ngoja akujelabda
Kweli wakunyumba
Mi sio mswahili mkuu. Labda we uje kuninganga ubonge wangu
nitasifia mkia wako kwa tafsida maana najua vibonge wengi wana mkia na guu la bia....Sawa white mimi ni simple guy tu mgaa gaa na upwa hapa mjiniMpe salaam zangu mzigua atanifikishia unachotaka kuhusu mm

Eeeh hiyo si pesa ya heineken 6 tu ama...Awweee
Me mwenyewe naishi nanjilinji huku na kichumba changu kimoja ni kama store kila kitu ndani kwahiyo usiogope uwe na amani zote mwendokasi ndio usafiri wangu nasimamia bombaSawa white mimi ni simple guy tu mgaa gaa na upwa hapa mjini![]()
![]()
![]()
Mh huyo ni wewe??? Nakumbuka Mara ya mwisho kukutana (pale makutanoni kwetu) ulikuwa black beauty la nguvuIssa Weekend.![]()
...
Me nakunywaga kumiEeeh hiyo si pesa ya heineken 6 tu ama...
Hahaha ukiamka asubuh mali zako zoye unaziona sioMe mwenyewe naishi nanjilinji huku na kichumba changu kimoja ni kama store kila kitu ndani kwahiyo usiogope uwe na amani zote mwendokasi ndio usafiri wangu nasimamia bomba
Naziona yaani sina wasiwasi wowote hata nikisafiri mwezi hakuna wa kuniibia jamaniHahaha ukiamka asubuh mali zako zoye unaziona sio
Me mwenyewe naishi nanjilinji huku na kichumba changu kimoja ni kama store kila kitu ndani kwahiyo usiogope uwe na amani zote mwendokasi ndio usafiri wangu nasimamia bomba
tunazipanda wote hizo white..

You are a muslim dear... maji ni saizi yako whiteMe nakunywaga kumi
