Mkuu ulishawahi kula mabanzi ya upako..?
Yanatabia moja yanashuka kwa spidi halafu makali na huwa hayadumu kwa muda mrefu ila matokeo yake ukipelekwa hospitali madaktari watauliza kwanini hamkumleta tokea juzi..!!
Wakati mtu kapigwa dk 15 tu zilizopita..😅
Kama hauna muziki wa ku share basi kuwa muangaliaji tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.