Nahisi kama kunawatu wametoa hongo Collins kupata ushindi uyu mubebi alikua Wa Walter Lara karubuniwa kabadilishia gia angan.Hadithi imeisha kama wengi walivyotabiri.
Hahaaa labda usubiri season two hapoNahisi kama kunawatu wametoa hongo Collins kupata ushindi uyu mubebi alikua Wa Walter Lara karubuniwa kabadilishia gia angan.
Lara weka kitu basi niachane na simu nikasimamie shoo
Ila nahisi hapa kuna season 2
Walter anapenda ligiiiii,si akitulize tuu![]()
Sometimes you have to fight to be a man.
Dah! Kweli hata Mimi I can't handle the truth, action linaanza ghafla movie inaanza kupitisha majina ya wahusika ikifuatiwa na THE END.
Natamani iwe Bong Movie, tujipe matumaini ya Part 2.
Team Walter tumezidiwa dau, lara 1 kishafanya yake...
Shukrani sana kwa burudani Mujarab!
umenikumbusha country song moja, "Sometimes you have got to fight cause you are a man!"
Nilitaraji kujua baba mzazi wa Walter na connection yake na victims wengine kwenye huu mkasa!
Nilitamani kujua sababu ya baba mlezi wa Walter (Chapombe) ilikuwaje akawa ndani ya Gwanda za kijeshi wakati hakuna mahali mbeleni penye ufafanuzi!
Nilitamani kujua destiny ya Walter na kazi yake na maisha yalivyoendelea akiwa na chaukorofi wake Inspector Janeth
Nilitamani kujua hatma ya Muddy na Grace...
Nilitamani kujua destiny ya Fahad
Nilitamani kujua life after fujo za ujanani kwa Carina na training alompa mama yake ilihali Mzee Mujungu ndo basi tena
Kwanini Carina alielewana haraka na Fahad kwenye ile birthday,kwanini alimwonea huruma sana Iqra wakati Collins alipotaka kumtoa sill? Palikuwa na chemistry gani kubwa namna hivyo in between!
Ila nilichojifunza ni kwamba mtoto Iqra ni habari nyingine kabisa na angekuwa ni mtu halisi basi list ya watu wa kumfariji ingekuwa ndefu sana! Nina binamu yangu binti rika lake kabisa,alafu mtoto wa mjini angekuja naye nyumbani picha lingekuwa refu zaidi na ningetunishiana misuli na kina Walter japo mimi si mjeda kama wao!walter sio wa kukubali kirahirahisi lala1, hili saga lingemalizwa na walter kweli haki ingetendeka. good for him mtoto wa mama collin